Elections 2010 Askofu Malasusa Naye Atoa Elimu ya Uraia: Chagueni mtu makini si chama

Mi sioni Haja ya malumbano haya. Tumefika Hapa tulipo Leo kwa sababu wapiga kura wa zamani hawakutaka kukiangusha chama. Chama kikabweteka kikaanza kusimamisha wagombea wa hovyo. Wakawa tena hawafuati utashi wa wapiga kura bali wanajipanga namna watakavyoshirikiana kula na kutupora.

Sasa kama mtu anatuonya kutokurudia makosa, tunaacha hoja ya msingi tunajadili udini na ukabila. Hivi 2005 wakritu wangekuwa na fikra hizo JK angeshinda kwa kishindo?
 
mungu akusamehe kwa upuuzi wako siku ya mwisho usichomwe na moto wa milele
maana hujui ulitendalo


Wewe nimmoja ya wale wanaofimbishwa macho makanisani, wasiotumia akili zao mwishowe manlawitiwa na wachungaji bila kujielewa, mnapopata fahmu ndio mnaaza kulalamika

Jibu kwa kutumia akili zako sio kuleta matusi
Mchungaji wako Slaa hanaumakini kwa sababu nilizotaja hapo juu, kwa hiyo jibu hoja sio vitisho vya moto kama mnavyotishiwa makanisani.

Na huyo mchungaji wako mwingine anaehubiria kondoo wake kuwa wachague sura sio sera za chama pia na nadhani alipitpiwa na gurudumu la kulawitiana.

Katika karne hii kote duniani wanachagua vyama kwa ubora wa sera sio uzuri wa sura. Hivi wewe na mchungaji wako manaishi dunia gani ???????
 
Nashindwa kuelewa kama umu ndani tunaleta maoni na hoja au matusi? Mtasababisha wanaJF wengine wakimbie Jamvi.
 
SIKU 16 kabla ya kufanyika wananchi kupiga kura, askofu mkuu wa Kanisa la Anglikana, Dk Valentino Mokiwa amedai kuwa hivi karibuni alipelekewa rushwa ya Sh11 milioni na mtu asiyemfahamu ili asizungumze masuala ya uchaguzi.

Dk Mokiwa alisema hayo kwenye tamasha la kuombea uchaguzi mkuu lililoandaliwa na Usharika wa Yombo wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT) Dar es Salaam jana.

Alisema tukio hilo lilitokea siku moja baada ya watu wawili mmoja akiwa anamjua kwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumsalimia ambapo alizungumza nao kisha wakaondoka.

“Siku moja baadaye, mlinzi alinipigia simu akaniambia yule mgeni wa jana ameleta ….nikamwambia kwa nini ulichukua? sina ahadi na mtu yeyote kuniletea mzigo,” alisema Dk Mokiwa.

Alifafanua kuwa taarifa hizo zilimlazimu aende nyumbani kwake ili kujua nini kimeletwa... na alipofungua alikuta fedha taslimu Sh11 milioni ambazo zilimtia wasiwasi.

“Nikampigia yule ninayemfahamu nikamwambia njoo uchukue fedha za jamaa yake, akaniambia 'usiwe na wasiwasi', nikamwambia haiwezekani njoo akaja akachukua zile fedha,” alisema.

Aliongeza kuwa alikumbuka maneno ya mtu yule wakati walipokwenda nyumbani kwake kuwa nyinyi (viongozi wa dini) mkizungumza nchi inatikisika, akaona ile ilikuwa ni rushwa ili anyamaze kuzungumzia masuala ya uchaguzi mkuu ujao.

Alisema aliamua kukataa fedha hizo kwa sababu alikuwa na wasiwasi asije baadaye akaambiwa na yeye alipewa fedha za rushwa na kumalizia nyumba yake kwani ile kwake ilikuwa ni rushwa ili anyamaze.

Akizungumzia hoja yake iliyopingwa na taasisi za serikali zinazohusiana na rushwa na uchaguzi kwa madai kuwa anahamasisha watu kupokea rushwa, Dk Mokiwa alisema:

“Mimi sikuhamasisha rushwa ila nilikuwa nawapinga viongozi wabaya wanaotoa rushwa kwa wapiga kura. Sheria ya Gharama za Uchaguzi si mbaya, lakini wasimamizi wa sheria hiyo ndio wabaya,” alisema Dk Mokiwa.

Alidai kuwa atafanya awezalo kuhakikisha kuwa viongozi wala rushwa hawaiongozi nchi hii kwa sababu mwaka huu rushwa imeenea na wakati huu wa kampeni rushwa ndio inaliwa sana na viongozi wasiokubalika ndio watoa rushwa.

“Tunamuomba Mungu leo, tupate viongozi ambao hawajawahi kutuongoza nchi hii; viongozi watakaotuletea amani bila ya kuwepo polisi shirikishi kwa kuwa hapa tulipofika ni matokeo ya kuwapa ushirikiano viongozi wabovu,” alisema.

Akizungumzia kauli ya vyombo vya usalama juu ya amani kulekea kwenye uchaguzi, Dk Mokiwa alisema ili kulinda amani iliyopo hakuna budi vyombo hivyo vikatenda kazi yake bila ya upendeleo katika kusimamia uchaguzi.

“Nani alisema hakuna amani, tatizo ni vyombo hivi vinataka kuwalinda watu waendelee kuongoza wakati wananchi wamewachoka. Wanatakaiwa wawe fair katika usimamizi,” alisema.

NAUNGANA na Askofu Mokiwa 100% kuhusu wananchi kupokea pesa watazopewa na mafisadi lakini wasiwachague.

Katika hali ya umasikini uliokithiri miongoni mwa Watanzania hivi sasa sio rahisi wakakataa hizo fedha. Jambo la msingi hapa ni kuwaelimisha kwamba wazichukue kwa kuwa ni mali yao waliyoibiwa na hao hao mafisadi watoaji, wakielewa itafanikisha zaidi kuwang'oa hao mafisadi kuliko kuwazuia kabisa wakati wana njaa.

Mbinu hiyo aliitumia Dr Mwakyembe kule Kyela, wengi tulimlaumu kuwa anahamasisha rushwa, lakini matokeo yalikuwa chanya, watu walikula fedha lakini hawakuwachagua watoaji.

Tusijidanganye umasikini ni mkubwa mno miongoni mwa Watanzania, wengi hawawezi vumilia kuacha shilingi elfu tano anayopewa wakati nyumbani hakuna mlo.
 
ni mwinyi amemkumbatia askofu gani?........wote wanasema tumchague mtu makini na hawataji jina.............hivi unaakili za darasani au madrasani? maana kuna tofauti hapo
Mpuuzi mwingine anafundusha watu wachague sura sio sera!!! Allahu akbar

Kamatukiangalia umakini basi mchungaji mwenzake Slaaa hafai kabisa hana umakini kwa sababu zifuatazo:

1- Decision zake mbovumbovu kwa kuacha kazi ya Mungu kukikmbilia siasa
2- Kakimbizwa ukatibu wa chama cha kikatoliki
3- Kaowa mke wa mtu bila kufanya uchunguzi wa makini
4- Chama chake kina asili ya udini, ukabila na udicteta anshindwa kuukemea
5- Kavuncha amri za ukatoliki, kwa kuowa na kuacha na kuowa tena mke wa mtu
6- Alikuwa mkereketwa wa CCM, alipo nyimwa ubunge akahamia chama cha mtandao wa kanisa
7- nk..........

Mchungaji Slaa hana umakini kabisa katika uamuzi wake, kwa hiyo huyu mchungaji angeweka wazi bila kujikanyaga na pili angewafundisha kondoo wake wachague sera si sura. Ohfyuuuu



 
Wewe nimmoja ya wale wanaofimbishwa macho makanisani, wasiotumia akili zao mwishowe manlawitiwa na wachungaji bila kujielewa, mnapopata fahmu ndio mnaaza kulalamika

Jibu kwa kutumia akili zako sio kuleta matusi
Mchungaji wako Slaa hanaumakini kwa sababu nilizotaja hapo juu, kwa hiyo jibu hoja sio vitisho vya moto kama mnavyotishiwa makanisani.

Na huyo mchungaji wako mwingine anaehubiria kondoo wake kuwa wachague sura sio sera za chama pia na nadhani alipitpiwa na gurudumu la kulawitiana.

Katika karne hii kote duniani wanachagua vyama kwa ubora wa sera sio uzuri wa sura. Hivi wewe na mchungaji wako manaishi dunia gani ???????

Ndivyo mlivyo CCM mkizidiwa hoja mnajificha kwenye pazia la udini,maaskofu walivyo sema enzi zile za 47 kuwa JK ni chaguo la Mungu mlikenua mijino leo mkielezwa ukweli kuwa lichama lenu limeoza mnaleta matusi ,hamna haya nyie!!!!!!!!!!!!
 
Mpuuzi mwingine anafundusha watu wachague sura sio sera!!! Allahu akbar
Kamatukiangalia umakini basi mchungaji mwenzake Slaaa hafai kabisa hana umakini kwa sababu zifuatazo:
1- Decision zake mbovumbovu kwa kuacha kazi ya Mungu kukikmbilia siasa
2- Kakimbizwa ukatibu wa chama cha kikatoliki
3- Kaowa mke wa mtu bila kufanya uchunguzi wa makini
4- Chama chake kina asili ya udini, ukabila na udicteta anshindwa kuukemea
5- Kavuncha amri za ukatoliki, kwa kuowa na kuacha na kuowa tena mke wa mtu
6- Alikuwa mkereketwa wa CCM, alipo nyimwa ubunge akahamia chama cha mtandao wa kanisa
7- nk..........

Mchungaji Slaa hana umakini kabisa katika uamuzi wake, kwa hiyo huyu mchungaji angeweka wazi bila kujikanyaga na pili angewafundisha kondoo wake wachague sera si sura. Ohfyuuuu


Nadhani anayefaa ni yule anayeacha jeshi na kwenda kwenye siasa:peace:
 
Back
Top Bottom