Askofu Leizer amvaa Lema

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Arusha, Thomas Leizer, amesema vurugu za kisiasa mkoani hapa, hazina faida na zinagharimu maisha ya wananchi. Kiongozi huyo amepongeza muafaka uliofikiwa kati ya madiwani wa CCM na CHADEMA kwa nafasi ya meya na kumtaka mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kuridhika badala ya kuendekeza vurugu. Amesema wananchi wamekuwa wakiishi kwa kuhofia usalama wao, kutokana na vurugu na kwamba, huu ni wakati wa madiwani kufanya kazi.

Kiongozi huyo wa kanisa alitoa tamko hilo jana, wakati wa uchangiaji ujenzi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba, wilayani Arumeru. Alitangaza kumtambua Meya wa jiji hilo, Gaudence Lyimo (CCM).
Alisema Lyimo amechaguliwa kihalali, hivyo jambo muhimu kwa madiwani ni kufanya kazi ili kuharakisha maendeleo ya wananchi.

Tamko la Askofu Leizer ni pigo kwa uongozi wa CHADEMA na Lema, ambao wamegoma kuutambua muafaka huo, huku wakiwatuhumu madiwani wao kuwa wamerubuniwa. Uongozi wa juu wa CHADEMA uliunda kamati chini ya Mabere Marando, ambayo iliwahoji madiwani wa chama hicho, huku Lema akitamba yupo tayari kufanya kazi bila kuwashirikisha madiwani hao.


"Madiwani walifanya jambo la busara, kwani vurugu zilizokuwa zikiendelea hazikuwa na faida, zaidi ya kugharimu maisha ya wananchi. Lema aridhike na nafasi aliyopata,"
alisema. Askofu Leizer alisema ameshangazwa na hatua ya Lema kuendeleza vurugu, huku akishindwa kukaa na madiwani wa chama chake kuandaa bajeti na kuwasilisha kwa jiji.

Kwa mujibu wa Leizer, vurugu za kisiasa zinazoendelea mkoani hapa zimefika pabaya, kiasi cha kumgombanisha mbunge na madiwani, jambo alilosema ni la hatari kwa kuwa linachelewesha maendeleo. Alimtaka Lema kuridhika na nafasi ya ubunge aliyonayo, na ya naibu meya na uenyekiti wa kamati ambazo madiwani wa CHADEMA wamezipata ili wazitumie kuwatumikia wananchi.

Source: Gazeti la Uhuru, Julai 18, 2011

NGOMA INOGILE A TOWN!


 
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Arusha, Thomas Leizer, amesema vurugu za kisiasa mkoani hapa, hazina faida na zinagharimu maisha ya wananchi. Kiongozi huyo amepongeza muafaka uliofikiwa kati ya madiwani wa CCM na CHADEMA kwa nafasi ya meya na kumtaka mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kuridhika badala ya kuendekeza vurugu. Amesema wananchi wamekuwa wakiishi kwa kuhofia usalama wao, kutokana na vurugu na kwamba, huu ni wakati wa madiwani kufanya kazi. Kiongozi huyo wa kanisa alitoa tamko hilo jana, wakati wa uchangiaji ujenzi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba, wilayani Arumeru. Alitangaza kumtambua Meya wa jiji hilo, Gaudence Lyimo (CCM).Alisema Lyimo amechaguliwa kihalali, hivyo jambo muhimu kwa madiwani ni kufanya kazi ili kuharakisha maendeleo ya wananchi.
Tamko la Askofu Leizer ni pigo kwa uongozi wa CHADEMA na Lema, ambao wamegoma kuutambua muafaka huo, huku wakiwatuhumu madiwani wao kuwa wamerubuniwa. Uongozi wa juu wa CHADEMA uliunda kamati chini ya Mabere Marando, ambayo iliwahoji madiwani wa chama hicho, huku Lema akitamba yupo tayari kufanya kazi bila kuwashirikisha madiwani hao.
"Madiwani walifanya jambo la busara, kwani vurugu zilizokuwa zikiendelea hazikuwa na faida, zaidi ya kugharimu maisha ya wananchi. Lema aridhike na nafasi aliyopata," alisema. Askofu Leizer alisema ameshangazwa na hatua ya Lema kuendeleza vurugu, huku akishindwa kukaa na madiwani wa chama chake kuandaa bajeti na kuwasilisha kwa jiji. Kwa mujibu wa Leizer, vurugu za kisiasa zinazoendelea mkoani hapa zimefika pabaya, kiasi cha kumgombanisha mbunge na madiwani, jambo alilosema ni la hatari kwa kuwa linachelewesha maendeleo. Alimtaka Lema kuridhika na nafasi ya ubunge aliyonayo, na ya naibu meya na uenyekiti wa kamati ambazo madiwani wa CHADEMA wamezipata ili wazitumie kuwatumikia wananchi.

Source: Gazeti la Uhuru, Julai 18, 2011

NGOMA INOGILE A TOWN!



Lema ana laana ya wazazi wake, mwacheni tu !
 
Zamani mambo yalikuwa hivi:
Kiongozi: Uhuru wananchi
Wananchi: Kazi ya TANU

Wacha nimkumbushe Mafilili sasa hivi mwitikio ni tofauti (hausemwi sana kihivyo):
Kiongozi: Uhuru
Wananchi: Kazi ya wananchi.

Kwa kifupi CDM waliweka summary ya hiyo na kusema:
Kiongozi: Peoples'
Wananchi: Power
Hivyo basi km gazeti la uhuru lina ukweli wacha tuwasubiri wananchi.
 
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Arusha, Thomas Leizer, amesema vurugu za kisiasa mkoani hapa, hazina faida na zinagharimu maisha ya wananchi. Kiongozi huyo amepongeza muafaka uliofikiwa kati ya madiwani wa CCM na CHADEMA kwa nafasi ya meya na kumtaka mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kuridhika badala ya kuendekeza vurugu. Amesema wananchi wamekuwa wakiishi kwa kuhofia usalama wao, kutokana na vurugu na kwamba, huu ni wakati wa madiwani kufanya kazi. Kiongozi huyo wa kanisa alitoa tamko hilo jana, wakati wa uchangiaji ujenzi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba, wilayani Arumeru. Alitangaza kumtambua Meya wa jiji hilo, Gaudence Lyimo (CCM).Alisema Lyimo amechaguliwa kihalali, hivyo jambo muhimu kwa madiwani ni kufanya kazi ili kuharakisha maendeleo ya wananchi.
Tamko la Askofu Leizer ni pigo kwa uongozi wa CHADEMA na Lema, ambao wamegoma kuutambua muafaka huo, huku wakiwatuhumu madiwani wao kuwa wamerubuniwa. Uongozi wa juu wa CHADEMA uliunda kamati chini ya Mabere Marando, ambayo iliwahoji madiwani wa chama hicho, huku Lema akitamba yupo tayari kufanya kazi bila kuwashirikisha madiwani hao.
"Madiwani walifanya jambo la busara, kwani vurugu zilizokuwa zikiendelea hazikuwa na faida, zaidi ya kugharimu maisha ya wananchi. Lema aridhike na nafasi aliyopata," alisema. Askofu Leizer alisema ameshangazwa na hatua ya Lema kuendeleza vurugu, huku akishindwa kukaa na madiwani wa chama chake kuandaa bajeti na kuwasilisha kwa jiji. Kwa mujibu wa Leizer, vurugu za kisiasa zinazoendelea mkoani hapa zimefika pabaya, kiasi cha kumgombanisha mbunge na madiwani, jambo alilosema ni la hatari kwa kuwa linachelewesha maendeleo. Alimtaka Lema kuridhika na nafasi ya ubunge aliyonayo, na ya naibu meya na uenyekiti wa kamati ambazo madiwani wa CHADEMA wamezipata ili wazitumie kuwatumikia wananchi.

Source: Gazeti la Uhuru, Julai 18, 2011

NGOMA INOGILE A TOWN!


CRAP!!! even the roman times the faith bowed to the needs and wants of the states!
 
Toilet paper nyingi huwa zimeandikwa 'use it flash it' ukikuta mtu ameishikilia tena anasoma juwa fuse ya kushoto imeungua.
 
Mmmh hivi ndo huyo aliyekuwa anampigia debe Babu wa Loliondo?

Kuna mtu aliuliza Wagonjwa wameisha Tanzania? Au wanatibiwa kwa siri siri.....
 
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Arusha, Thomas Leizer, amesema vurugu za kisiasa mkoani hapa, hazina faida na zinagharimu maisha ya wananchi. Kiongozi huyo amepongeza muafaka uliofikiwa kati ya madiwani wa CCM na CHADEMA kwa nafasi ya meya na kumtaka mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kuridhika badala ya kuendekeza vurugu. Amesema wananchi wamekuwa wakiishi kwa kuhofia usalama wao, kutokana na vurugu na kwamba, huu ni wakati wa madiwani kufanya kazi.

Kiongozi huyo wa kanisa alitoa tamko hilo jana, wakati wa uchangiaji ujenzi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba, wilayani Arumeru. Alitangaza kumtambua Meya wa jiji hilo, Gaudence Lyimo (CCM).
Alisema Lyimo amechaguliwa kihalali, hivyo jambo muhimu kwa madiwani ni kufanya kazi ili kuharakisha maendeleo ya wananchi.

Tamko la Askofu Leizer ni pigo kwa uongozi wa CHADEMA na Lema, ambao wamegoma kuutambua muafaka huo, huku wakiwatuhumu madiwani wao kuwa wamerubuniwa. Uongozi wa juu wa CHADEMA uliunda kamati chini ya Mabere Marando, ambayo iliwahoji madiwani wa chama hicho, huku Lema akitamba yupo tayari kufanya kazi bila kuwashirikisha madiwani hao.


"Madiwani walifanya jambo la busara, kwani vurugu zilizokuwa zikiendelea hazikuwa na faida, zaidi ya kugharimu maisha ya wananchi. Lema aridhike na nafasi aliyopata,"
alisema. Askofu Leizer alisema ameshangazwa na hatua ya Lema kuendeleza vurugu, huku akishindwa kukaa na madiwani wa chama chake kuandaa bajeti na kuwasilisha kwa jiji.

Kwa mujibu wa Leizer, vurugu za kisiasa zinazoendelea mkoani hapa zimefika pabaya, kiasi cha kumgombanisha mbunge na madiwani, jambo alilosema ni la hatari kwa kuwa linachelewesha maendeleo. Alimtaka Lema kuridhika na nafasi ya ubunge aliyonayo, na ya naibu meya na uenyekiti wa kamati ambazo madiwani wa CHADEMA wamezipata ili wazitumie kuwatumikia wananchi.

Source: Gazeti la Uhuru, Julai 18, 2011

NGOMA INOGILE A TOWN!


Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap!!!!!
 
Baba Askofu Leizer wewe ni mtumishi wa mungu tena ni msomi nakuheshimu sana! Nakubaliana na wewe 100% wewe ni mwana Arusha unaujua vizuri mkoa wenu, pambaneni na hawa wahuni kuwafahamisha maana ya amani, wanaotaka kuleta vita Arusha sisi wananchi wapenda Amani tuna support, Lema hivi kweli unakataa ata ushauri wa Baba Askofu Leizer? Wewe na vita tu
 
Makamba amshangaa Askofu Laizer

THURSDAY, 13 JANUARY 2011 19:48 NEWSROOM

NA JANE MIHANJI-Uhuru

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yussuf Makamba amesema kauli aliyoitoa Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Arusha Thomas Laizer kumshutumu, inaashiria kuwa ni shabiki wa CHADEMA. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Makamba alielezea kusikitishwa kwake na habari iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi katika toleo la jana ikimnukuu askofu huyo akisema kuwa Makamba ana uelewa finyu wa Biblia. "Nilikuwa nazungumzia maandamano na ghasia zilizofanywa na CHADEMA kwa kunukuu Biblia, sasa hakunieleza au kunielimisha wapi niliikosea biblia," alisema Makamba. Aliongeza: "Nilihojiwa na TBC One na nikanukuu Warumi 13: 1-7, nilizungumzia CHADEMA, sikuwa nazungumza na askofu... sasa naona anayejibu hili ni shabiki wa CHADEMA," alisema. Katibu Mkuu huyo alisema anaendelea kuamini kwamba viongozi na wanachama wa CHADEMA hawakutii mamlaka halali ambayo ni serikali. Alisema kwa kunukuu kwake mistari ya biblia hakuwa amekosea kama Askofu Laizer anavyodhani. "Kwa kweli nisingependa kulumbana na wakubwa, lakini wanapaswa kuelekeza pale wanapoona mtu amekosea, siyo kumlaumu," alisema.

"Ni kweli nina uelewa mdogo wa Biblia, kwa sababu mimi si askofu, ni muumini wa dini tena Mwislamu. Mazungumzo yangu na waandishi wa TBC One nilinukuu Biblia, Warumi sura ya 13, mstari wa 1-7," alisema Makamba.

Alibainisha kuwa inawezekana uelewa wake katika kifungu hicho ni mdogo, hivyo hapaswi kulaumiwa, bali kuelimishwa kwamba mamlaka iliyotajwa katika mistari hiyo ni ipi?

Makamba alirudia kusoma mistari hiyo isemayo: "Kila mtu na atii mamlaka iliyo kuu, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu na ile iliyopo imeamriwa na Mungu. Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu, nao washindanao watajipatia hukumu.

Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema, bali kwa sababu ya matendo mabaya. Basi wataka usimwogope mwenye mamlaka? Fanya mema nawe utapata sifa kwake, kwa kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema.

Lakini ufanyapo mabaya, ogopa kwa maana hauchukui upanga bure, kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu. Amlipizae kisasi mtenda mabaya kwa ajili ya ghadhabu kwa hiyo ni lazima utii si kwa sababu ya ile ghadhabu tu, ila kwa sababu ya dhamiri.

Kwa sababu hiyo na walipa kodi kwa kuwa wao ni wahudumu wa Mungu, wakidumu katika kazi hiyo hiyo. Wapeni wote haki zao, mtu wa kodi, kodi, mtu wa ushuru, ushuru, astahiliye hofu, hofu, astahiliye heshima heshima."

Makamba alisema ni vyema akaelezwa uelewa wake finyu katika mistari hiyo, kuliko askofu kutaka kumnyamazisha na kuingia katika ushabiki wa kisiasa.
 
Wenyewe kwa wenyewe Chadema wanalumbana. Kazi kwenu.

kama askofu mkuu wa KKKT dayosisi ya Arusha Askofu laizer ameshamthibitisha Meya. sasa Lema anamkataa kama nani au naye anataka kuvuliwa manyoya yake ndani ya chadema
 
gazeti la chama cha mapinduzi
Full Crackpot,yaani wewe Akili yako yote ni CDM ingekuwa hii habari imetolewa na Gazeti la CDM, Tanzania Daima ungekubali? Acha utumwa wa fikra
 
Wenyewe kwa wenyewe Chadema wanalumbana. Kazi kwenu.

kama askofu mkuu wa KKKT dayosisi ya Arusha Askofu laizer ameshamthibitisha Meya. sasa Lema anamkataa kama nani au naye anataka kuvuliwa manyoya yake ndani ya chadema
Sasa hapa tukisema elimu ya madrasa inatia mashaka tutakuwa tunakosea? ni wapi Askofu yeyote amepewa mamlaka ya kumthibitisha meya?
Kweli masheikh wenu wamewatia upofu wa kutosha kabisa, kumbe ndio maana hata mahakama ya kadhi mnawaomba maaskofu badala ya kuanzisha wenyewe chombo chenu? kweli ujinga ni mzigo.
 
Full Crackpot,yaani wewe Akili yako yote ni CDM ingekuwa hii habari imetolewa na Gazeti la CDM, Tanzania Daima ungekubali? Acha utumwa wa fikra
Wewe ni mtumwa namba moja kuliko huyo unaemsema, una element za kigaidi.
 
Back
Top Bottom