Amesahau kazi yake ya kishetani anayoifanya kwa sasa!
Huyu naye kakosa maarifa. Mimi nina doubt sana naye na huo uaskofu wake, inaonesha kapewa mshiko wa kutosha au kaahidiwa kitu kikubwa sana na JK au swahiba wake, LAKINI ATAKUJA KUJUTA NA KUTOA USHUHUDA WA WAZI
Maana yake anayepigiwa chapuo na hao, yeye ndo kachoka zaidi.Hivi inatoa taswira gani kwani wooote wanaompigia JK chapuo wamechoka,Sheikh Yahya, Mrema,Kulola,Kingunge..........................?
Familia ya Kulola ilishajitolea kumbeba Kikwete huoni Flora Mbasha na Mumewe walivyo buzy kwenye kampeni za JK? Njaa mbaya sanaMaana yake anayepigiwa chapuo na hao, yeye ndo kachoka zaidi.
Iliripotiwa hapa JF kuwa baba askofu Moses Kulolwa atafanya mahojiano yatakayoonyeshwa katika vituo vya television kwa gharama za CCM. Naona kweli huyu mzee amekamilisha kazi yake aliyoiita 'kazi ya Mungu'. Jana alionakana kwenye TV akisema kuwa wanaompinga au kumuasi au kumuombea 'mfalme' (Kikwete) aliyepo madarani aondolewe wanafanya kazi za shetani...
Sala yako imejibiwa!.Kulola ndo anavyomalizia injili yake hapa duniani.
Mungu anamsubiri ampe kilicho chake.
Mungu amrehemu kulola. apumzike kwa amani
Sasa babu wa Loliondo ameishia wapi?Huyu mzee aliniachaga hoi
alipomkandia kwa sana babu wa loliondo ,alijenga homa dhaifu mno
nikasema Loh huyu ndiye Kulola Mkuu wa kanisa kweli?
Yesu alizaliwa wakati taifa lake likitawaliwa na utawala wa kiimla wa Warumi, lakini hakuna hata siku moja Yesu alijihusisha kwa namna yoyote kwenye siasa, hata pale alipowekewa mitego ili atoe maoni ya kisiasa. Wale wanaojiita watumishi wa huyu Yesu, wanaoenda kinyume na Yesu mwenyewe, ndio manabii wa uongo. Maana Yesu ni kielelezo. Hakujihusisha na siasa na aliwaambia ufalme wake si wa hapa duniani.:kev:kafanya nini tena naye mtumishi wa Mungu, mbona nilimwona akisema ya ukweli kabisa?
Sikumuombeya MABAYA ama BALAA,Sala yako imejibiwa!.
RIP Kulola