Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Loo!! mtu akitaja tu Kanisa Katoliki unaguswa kweli na kuja juu ile mbaya. Badilisha jina basi..
Vyovyote utakavyoona ndio ivoivo..Mimi naona nachangia hoja ila wewe unao uhuru wa kuchukulia kuwa nakuja juu au chini, the choice is yours..
Kuhusu jina langu kama linakukera sana saga vyupa mimi nitakusaidia kukunywesha na safari laga. Jina langu litabakia hivihivi na nikuhakikishia hilo solidly, so mazee we just tambaa.