Askofu Kakobe na Upumbafu wa Watanzania

Watanzania wengi hatujui sheria, kuna vifungu vingi sana ambavyo vinahitaji kurekebishwa maana vinazipa mamlaka fulani fulani nguvu kubwa sana. Hata hivyo naona askofu kakobe ametusaidia kujua mambo mengi na pia kuonesha misimamo lakini hata hivyo bado kuna vifungu ambavyo vinambana. Tanesco kama mlisikia TBC wanasheria wakisema kama vifungu vile vitakuwepo basi atakuwa ameshindwa.
 
Hakika wa Danganyika hatujui haki zetu, Mimii nampenda sana MTIKILA, yule jamaa yupo smart upstairs, hili la KAKOBE sikupenda wale waumini pale kushinda kwenye JUA lkn km hi haki yake aishikilie kwa NGUVU zote
 
Thats my dady! you can say it again.Nadhani kuna umuhimu wa waTZ kusoma somo la sheria na haki zetu za msingi toka primary kama ilivyo kwa kiswahili na hesabu.Nadhani tutaamka.

My daughter, unadhani ni lazima watanzania kusoma somo la sheria, kitu muhimu ni wao kujitambua. Hata wanasheria tunaosema wamebobea bado hawana jeuri ya kusimama na kuwasaidia au kuwashauri watanzania accordingly.
Kuna watanzania wana elimu ya darasani kwa kiwango hadi cha PhD lakini hawana uthubutu wa kusimamia haki zao, na ndio maana unaona watu wanakuja hapa kumshutumu kakaobe kwa sababu ya ujinga wao, wanadhani kakobe hajui anachokifanya.
Big up sana Askofu Kakobe, haki ya mtu haiombwi bali hudaiwa na kusimamiwa.
 
Naungana na askofu Kakobe kwa asilimia zote maana ukija hapa na kusema kuwa wafunge umeme huo ila ni vizuri sana
 
Mshikaji mi nakuunga mkono katika hilo,kweli Watanzania tulio wengi sasa naona kiwango cha upumbavu kinakithiri na tunazidi kudumaza uwezo wetu wa kufikiri kila kukicha. Nasikitika sana ninapowakuta vijana wenye nguvu zao ambao wangezitumia katika kazi za kujenga taifa wakiwa wamekaa mele ya kanisa la kakobe eti wanalinda Tanesco wasisimike nguzo,hapa kweli kakobe kawabadilisha matoy. Haishangazi kukuta watu kama hao wakilalamikia ugumu wa maisha,eti kauli mbiu ya maisha bora kw kila mtanzania haikutimia.Itatimiaje wakati watu wenyewe wazembe wa kufikiri.Tuache kumkufuru Mungu katupa nguvu basi tufanye kazi.
 
My daughter, unadhani ni lazima watanzania kusoma somo la sheria, kitu muhimu ni wao kujitambua. Hata wanasheria tunaosema wamebobea bado hawana jeuri ya kusimama na kuwasaidia au kuwashauri watanzania accordingly.
Kuna watanzania wana elimu ya darasani kwa kiwango hadi cha PhD lakini hawana uthubutu wa kusimamia haki zao, na ndio maana unaona watu wanakuja hapa kumshutumu kakaobe kwa sababu ya ujinga wao, wanadhani kakobe hajui anachokifanya.
Big up sana Askofu Kakobe, haki ya mtu haiombwi bali hudaiwa na kusimamiwa.

mzee post hii inabeba ujumbe makini sana,watz wengi wanaburuzwa kwasababu tu hawajui haki zao za kimsingi,nakubaliana na wewe 100%
 
Back
Top Bottom