Askofu Gamanywa: Tumwombee Kikwete

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
MWANGALIZI Mkuu wa The World And Peace Organization (WAPO) International, Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, amesema huduma za Hakuna Lisilowezekana anazoziongoza, hazina wasiwasi kuhusu afya ya Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa kila siku humweka katika maombi maalumu.

Aidha, amesema vifo katika umri mfupi miongoni mwa jamii, ni matokeo ya athari mbaya za mmomonyoko wa maadili ambao jamii haina budi kupambana nao kwa nguvu zote.

Askofu Gamanywa, alisema hayo juzi katika mahafali ya tano ya Shule ya Msingi na Awali ya Shalom, iliyopo katika Manispaa ya Temeke ambapo wahitimu 25 wa shule ya msingi na 50 wa shule ya awali, walitunukiwa vyeti na zawadi mbalimbali.

Akizungumza baada ya sherehe hizo, Askofu Gamanywa alisema mwaka 2005 wakati Rais akizindua kampeni ya Bora Subiri au Tosheka Naye, inayoendeshwa na huduma hizo katika mapambano dhidi ya ukimwi, walimpa ngao itakayomlinda hadi akamilishe kipindi cha uongozi wake.
“Ngao tuliyompa kule BCIC Mbezi, ni ishara kwamba kwa Mungu hakuna lisilowezekana na pia, kila siku iendayo kwa Mungu, sisi tunaliombea taifa na rais tunamwombea tukimtaja kwa jina kabisa. Dua na sala zetu tunaamini Mungu anazisikia na zitamwezesha afya njema hadi amalize kipindi chake cha uongozi na kustaafu,” alisema.

Hivi karibuni, Rais Kikwete aliishiwa nguvu na kukatisha hotuba yake wakati akihutubia katika maadhimisho ya miaka 100 ya Kanisa la African Inland Church kwenye Uwanja wa CCM, Kirumba jijini Mwanza.

Baadaye, daktari wake, Dk. Peter Mfisi, alisema hali ya afya ya rais si jambo linalowatia shaka wala kuwanyima usingizi yeye na mwenzake Dk. Maohamed Janabi kwa kuwa hana maradhi yanayoweza kumuathiri katika kulitumikia taifa.

Alisema Rais Kikwete ana maumivu ya shingo yaliyotokana na kuumia akiwa utotoni na wakati wa ujana na pia, ana damu nyingi kiasi kwamba, huipunguza kupitia Benki ya Damu (WB) kila baada ya miezi sita.

Katika mahafali hayo, Askofu Gamanywa alisema vifo vya watu wengi katika umri mdogo kutokana na ukimwi, dawa za kulevya, ukatili na mauaji ni matokeo ya taaluma nchini kutotoa kipaumbele katika suala la maadili.

Alitahadharisha kuwa, endapo jamii haitaunganisha nguvu toka serikalini, wazazi, walezi na vijana katika kuimarisha maadili, ipo hatari jamii ikashuhudia machafuko na athari nyingi za mmomonyoko huo.

Alisema mmomonyoko huo unachangiwa na kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano kiasi cha kuwashinda wazazi kudhibiti mambo wayaonayo watoto na vijana katika mtandao wa kompyuta zikiwamo picha za ngono, vita, mauaji na ukatili.

Mkuu wa shule hiyo, Mwassa Jingi, alisema duniani pote, elimu ya msingi ndiyo haki pekee ambayo mzazi ana wajibu kuhakikisha mtoto haikosi na anaipata kwa kiwango kinachokubalika. Awali Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Hilda Ivatti, alisema kwa miaka miwili mfululizo, shule hiyo imekuwa aikifaulisha wanafunzi wote katika darasa na kuwa miongoni mwa shule kumi bora kitaaluma katika Mkoa wa Dar es Salaam.

FreeMedia
 
mhhhh watu wa type hii ndio wanaofanya akina pengo wawe irelevant,wapendwa sasa ndio wengi kuliko wakatoliki.
 
Ni kweli tumuombee apone kwani sisi sote ni binadamu na magonjwa yanampata mtu yeyote yule.

Ila kwa upande wa uongozi naomba Mungu tupate Kiongozi jasiri wa kuwakabili mafisadi na kuimarisha utawala Bora.
 
Ila kwa upande wa uongozi naomba Mungu tupate Kiongozi jasiri wa kuwakabili mafisadi na kuimarisha utawala Bora

yupi tena mwingine huyo ndio wako ushaambiwa kachaguliwa na MUNGU analindwa BAGAMOYO
 
MWANGALIZI Mkuu wa The World And Peace Organization (WAPO) International, Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, amesema huduma za Hakuna Lisilowezekana anazoziongoza, hazina wasiwasi kuhusu afya ya Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa kila siku humweka katika maombi maalumu.

Aidha, amesema vifo katika umri mfupi miongoni mwa jamii, ni matokeo ya athari mbaya za mmomonyoko wa maadili ambao jamii haina budi kupambana nao kwa nguvu zote.

Askofu Gamanywa, alisema hayo juzi katika mahafali ya tano ya Shule ya Msingi na Awali ya Shalom, iliyopo katika Manispaa ya Temeke ambapo wahitimu 25 wa shule ya msingi na 50 wa shule ya awali, walitunukiwa vyeti na zawadi mbalimbali.

Akizungumza baada ya sherehe hizo, Askofu Gamanywa alisema mwaka 2005 wakati Rais akizindua kampeni ya Bora Subiri au Tosheka Naye, inayoendeshwa na huduma hizo katika mapambano dhidi ya ukimwi, walimpa ngao itakayomlinda hadi akamilishe kipindi cha uongozi wake.
"Ngao tuliyompa kule BCIC Mbezi, ni ishara kwamba kwa Mungu hakuna lisilowezekana na pia, kila siku iendayo kwa Mungu, sisi tunaliombea taifa na rais tunamwombea tukimtaja kwa jina kabisa. Dua na sala zetu tunaamini Mungu anazisikia na zitamwezesha afya njema hadi amalize kipindi chake cha uongozi na kustaafu," alisema.

Hivi karibuni, Rais Kikwete aliishiwa nguvu na kukatisha hotuba yake wakati akihutubia katika maadhimisho ya miaka 100 ya Kanisa la African Inland Church kwenye Uwanja wa CCM, Kirumba jijini Mwanza.

Baadaye, daktari wake, Dk. Peter Mfisi, alisema hali ya afya ya rais si jambo linalowatia shaka wala kuwanyima usingizi yeye na mwenzake Dk. Maohamed Janabi kwa kuwa hana maradhi yanayoweza kumuathiri katika kulitumikia taifa.

Alisema Rais Kikwete ana maumivu ya shingo yaliyotokana na kuumia akiwa utotoni na wakati wa ujana na pia, ana damu nyingi kiasi kwamba, huipunguza kupitia Benki ya Damu (WB) kila baada ya miezi sita.

Katika mahafali hayo, Askofu Gamanywa alisema vifo vya watu wengi katika umri mdogo kutokana na ukimwi, dawa za kulevya, ukatili na mauaji ni matokeo ya taaluma nchini kutotoa kipaumbele katika suala la maadili.

Alitahadharisha kuwa, endapo jamii haitaunganisha nguvu toka serikalini, wazazi, walezi na vijana katika kuimarisha maadili, ipo hatari jamii ikashuhudia machafuko na athari nyingi za mmomonyoko huo.

Alisema mmomonyoko huo unachangiwa na kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano kiasi cha kuwashinda wazazi kudhibiti mambo wayaonayo watoto na vijana katika mtandao wa kompyuta zikiwamo picha za ngono, vita, mauaji na ukatili.

Mkuu wa shule hiyo, Mwassa Jingi, alisema duniani pote, elimu ya msingi ndiyo haki pekee ambayo mzazi ana wajibu kuhakikisha mtoto haikosi na anaipata kwa kiwango kinachokubalika. Awali Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Hilda Ivatti, alisema kwa miaka miwili mfululizo, shule hiyo imekuwa aikifaulisha wanafunzi wote katika darasa na kuwa miongoni mwa shule kumi bora kitaaluma katika Mkoa wa Dar es Salaam.

FreeMedia


Huyu Hakujua TEZ DUME????


Personal Historical Background


Full name: Sylvester Sospeter Gamanywa


Date of Birth: 6/6/1957


Place of Birth: Kanazi, Bukoba, Tanzania


Nationality: Tanzanian


Tribe: Mhaya


Marital Status: Married with four children




Education & Professional Background


2004-2005 M.A. Religion and State Relations, Trinity International University (Delaware, U.S.A)


2000-2005 M.A. Christian Leadership and Church Management, Trinity International University (Delaware, U.S.A)


1991-1994 B.A. Biblical Theology, Trinity International University (Delaware, U.S.A)


1989-1990 Diploma in Christian Relations/Journalism, Globe University-Dallas Texas U.S.A.


Church Leadership Experience
1. WAPO MISSION INTERNATIONAL (1990 TO DATE)
This is a Christian Society Registered in Tanzania as network for national and international churches and Organizations and does operate ministerial, Media and social programs as well as partnership with the Government in Public and Private Partnership agreements


Position
1. Founder and leader
2. National General Overseer


Responsibilities
1. Presiding national leadership board meetings
2. Monitoring Registered Trustees
3. Presiding National Conferences


2. BIBLICAL COUNSELING AND INTERCESSION CENTRE (1992 TO DATE)
This is one of the Mega-churches based in the city of Dar es Salaam with 4500 memberships founded and operating legally under WAPO MISSION INTERNATIONAL


Position:
1. Founder Bishop
2. Senior pastor


Responsibilities
1. Supervising 50 co-pastors and 400 cell-leaders
2. Leading Sunday services
3. Personal counseling for special cases




3. WAPO RADIO FM STATION (2002-TODATE)
This is a most listened Christian FM Radio station based in the city of Dar es Salaam with coverage of over 10 million people operating under WAPO MISSION INTRENATIONAL


Position
1. Founder leader
2. Editorial board chairman


Responsibilities
1. Supervising radio management team
2. Monitoring radio programs' content and quality




4. MSEMAKWELI NATIONAL CHRISTIAN NEWSPAPER (1993-TODATE)
This is the first and largest National Christian newspaper registered in Tanzania and legally owned by WAPO MISSION INTERNATIONAL


Position
1. Founder leader
2. Editorial board chairman


Responsibilities
1. Supervising newspaper editorial management team
2. Sunday Columnist


Governmental Leadership Experience
1. TANZANIA COMMISSION FOR AIDS (2004-2007)
(This Commission is a governmental institution formed and supervised under the Prime Minister's Office in order to coordinate HIV/AIDS national activities in which the Prime Minister appoints all commissioners)


Position
1. The Commissioner
2. National Christian Representative


Responsibilities
1. Attending the TACAIDS governing board meetings
2. Personal Advice to the Prime Minister
3. HIV/AIDS prevention campaigns activist


2. PRESIDENT MKAPA HIV/AIDS FOUNDATION (2006-TODATE)
(This foundation was formed by and for the former Tanzania President, His Excellence, William Benjamin Mkapa)


Position
1. The founder Trustee
2. National Christian Representative


Responsibilities
1. Attending the Foundation governing board meetings
2. Professional advice to the Settler (Former President)
3. HIV/AIDS prevention campaigns activist
3. THE YOUNG GENERATION MORALS RESTORATION PROGRAM (2010-2020)


This is a new program officiated by The Tanzania President, His Excellence Jakaya Mrisho Kikwete and is focused and committed to make sure the young generation is rescued from distractive behavior and become responsible generation for the nation


Position
Program founder


Responsibilities
1. Mobilizing church leaders and the government to support the Program
2. Organizing and conducting national youth seminars and conferences
3. Provision of Biblical counseling focused on the behavior change in society


Business Administration Experience
1. BSHG Consultants Ltd (2007-todate)


This is a consultancy company registered in Tanzania to provide business and management consultancy and promoting enterpreneuwaship for Small and Medium business projects in Tanzania. Everything can be found on its website address: Bishop Gamanywa Foundation - Home


Position
1. Founder Director
2. Chairman for Board of Directors


Responsibilities
1. Business and management consultancy
2. Coordination of business professionals in designing new business projects


2. TAN WASTE ENERGY LTD (2009-todate)
This is a newly registered company dedicated to partner with Tanzania government in MSW projects; including converting Solid Waste to Ethanol by using GPV technology. More details may be found on its website address: www.tanwasteenergy.com


Position
1. Founder Director
2. Chairman for Board of Directors


Responsibilities
1. Presiding national board meetings
2. Spokesman before the government
3. International representative


SPECIAL PUBLICATIONS
1. Biblia isemavyo kuhusu UKIMWI (1994)
(What does the Bible says about HIV/AIDS)


2. Kutenganisha dini na serikali (2000)
(Separation of Religion and State Affairs)


3. Wajibu wa Kanisa kwa waathirika wa UKIMWI (2004)


(The role of the church in caring for people living with HIV/AIDS)


4. Hatima ya Amani katika Tanzania (2005) (Destine for the peace in Tanzania)


5. Maadili kwa Kizazi Kipya (2010) (Morals for the young generation)


Signed SmSGamanywa Date: June 2011
 
MWANGALIZI Mkuu wa The World And Peace Organization (WAPO) International, Askofu Mkuu Sylvester Gamanywa, amesema huduma za Hakuna Lisilowezekana anazoziongoza, hazina wasiwasi kuhusu afya ya Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa kila siku humweka katika maombi maalumu.

Aidha, amesema vifo katika umri mfupi miongoni mwa jamii, ni matokeo ya athari mbaya za mmomonyoko wa maadili ambao jamii haina budi kupambana nao kwa nguvu zote.

Askofu Gamanywa, alisema hayo juzi katika mahafali ya tano ya Shule ya Msingi na Awali ya Shalom, iliyopo katika Manispaa ya Temeke ambapo wahitimu 25 wa shule ya msingi na 50 wa shule ya awali, walitunukiwa vyeti na zawadi mbalimbali.

Akizungumza baada ya sherehe hizo, Askofu Gamanywa alisema mwaka 2005 wakati Rais akizindua kampeni ya Bora Subiri au Tosheka Naye, inayoendeshwa na huduma hizo katika mapambano dhidi ya ukimwi, walimpa ngao itakayomlinda hadi akamilishe kipindi cha uongozi wake.
“Ngao tuliyompa kule BCIC Mbezi, ni ishara kwamba kwa Mungu hakuna lisilowezekana na pia, kila siku iendayo kwa Mungu, sisi tunaliombea taifa na rais tunamwombea tukimtaja kwa jina kabisa. Dua na sala zetu tunaamini Mungu anazisikia na zitamwezesha afya njema hadi amalize kipindi chake cha uongozi na kustaafu,” alisema.

Hivi karibuni, Rais Kikwete aliishiwa nguvu na kukatisha hotuba yake wakati akihutubia katika maadhimisho ya miaka 100 ya Kanisa la African Inland Church kwenye Uwanja wa CCM, Kirumba jijini Mwanza.

Baadaye, daktari wake, Dk. Peter Mfisi, alisema hali ya afya ya rais si jambo linalowatia shaka wala kuwanyima usingizi yeye na mwenzake Dk. Maohamed Janabi kwa kuwa hana maradhi yanayoweza kumuathiri katika kulitumikia taifa.

Alisema Rais Kikwete ana maumivu ya shingo yaliyotokana na kuumia akiwa utotoni na wakati wa ujana na pia, ana damu nyingi kiasi kwamba, huipunguza kupitia Benki ya Damu (WB) kila baada ya miezi sita.

Katika mahafali hayo, Askofu Gamanywa alisema vifo vya watu wengi katika umri mdogo kutokana na ukimwi, dawa za kulevya, ukatili na mauaji ni matokeo ya taaluma nchini kutotoa kipaumbele katika suala la maadili.

Alitahadharisha kuwa, endapo jamii haitaunganisha nguvu toka serikalini, wazazi, walezi na vijana katika kuimarisha maadili, ipo hatari jamii ikashuhudia machafuko na athari nyingi za mmomonyoko huo.

Alisema mmomonyoko huo unachangiwa na kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano kiasi cha kuwashinda wazazi kudhibiti mambo wayaonayo watoto na vijana katika mtandao wa kompyuta zikiwamo picha za ngono, vita, mauaji na ukatili.

Mkuu wa shule hiyo, Mwassa Jingi, alisema duniani pote, elimu ya msingi ndiyo haki pekee ambayo mzazi ana wajibu kuhakikisha mtoto haikosi na anaipata kwa kiwango kinachokubalika. Awali Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Hilda Ivatti, alisema kwa miaka miwili mfululizo, shule hiyo imekuwa aikifaulisha wanafunzi wote katika darasa na kuwa miongoni mwa shule kumi bora kitaaluma katika Mkoa wa Dar es Salaam.

FreeMedia
Sasa tunavyojua ni kuwa hao watumishi wa Mungu kama Gamanywa,huwa wanapata maono toka kwa Mungu.

Huo mwaka 2009, Askofu Gamanywa alituambia watanzania kuwa kutokana na dua na sala zake, ana uhakika Mungu amezisikia na ataweza kumlinda Rais wetu na kumpa afya njema na kutoweza kupata maradhi yoyote makubwa hadi amalize kipindi chake cha pili cha uongozi wake.

Hivi ina maana wakati huo, Askofu Gamanywa hakuwa amefunuliwa na Mungu kuwa Rais wetu kabla ya kumaliza kipindi chake cha utawala, atapata tezi dume, itakayopelekea apate kansa?
 
Back
Top Bottom