Bongo Pix Blog
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 213
- 33
Nenda kamwambie huyo askofu ajiue mwenyewe, sisi sio wauaji anataka kuwapa watu mada kesi kwa ushabiki wake.
Haituhusu kwanza.
inashangaza, maneno aseme yeye alafu anataka wengine ndo wamuue, kwani asinywee sumu mapema au akatafuta kitanzi chake akajitundika kabisa! nani kamwambia cc ni wauaji? ila tusubiri ka hatujasikia harambee na mgeni rasm el. tym will tell.