Ni Kakobe au nani huyo?.Vipi tena kamtupa mkono Slaa!.Tatizo hawa maaskofu hawana uoni sahihi wanategemea ndoto za shetani kama yule babu wa LoL...[/ THE greater thinker una uhakika na unasema, au unaongea ili uonekane nawe umechangia? Je wewe uono wak sahihi ni upi juu ya hili kama huyo hana uoni sahihi