wewe ndio ufute kauli yako! siasa na dini wapi na wapi!
Dini haiwezi kutengwa na siasa maana kama siasa itasababisha kutoweka kwa amani, dini haiwezi kuhubiriwa
wewe ndio ufute kauli yako! siasa na dini wapi na wapi!
Hapo mwishoni uliposema 'madongo kuinama ambako serikali haipo' ndio nimepata picha ya upeo wako wa darasani.Kanisa la ukweli hapa duniani ni RC tu haya mengine ni waganga njaa tu, kwa sheria za rc hairuhusiwi kuchanganya siasa na dini. Kama ni padre haruhusiwi kutumikia siasa, ile kauli ya " ya Mungu mpe Mungu na ya kaisari mpe kaiser inafatwa kabisa kikamilifu"
hawa wengine wanatumikia mali familia na siasa na ndo maana makanisa yao hayaendelei, ona kanisa katoliki linvyoshamiri, linaweza hata kuendesha serikali, kwa maana ya serikali kuwa ni ya watu ndo pekee lingeweza kutumikia wananchi coz lipo mpaka madongo kuinama ambako serikali haipo.
Big up my church
ndiyo wanachofanya wanampa Mungu yake nao wanaenda kwa Kaisari, ubaya wapi!?Yakaisari mpeni kaisari na ya Mungu mpeni Mungu.
Askofu wa makanisa ya kisanii!
Kanisa la ukweli hapa duniani ni RC tu haya mengine ni waganga njaa tu, kwa sheria za rc hairuhusiwi kuchanganya siasa na dini. Kama ni padre haruhusiwi kutumikia siasa, ile kauli ya " ya Mungu mpe Mungu na ya kaisari mpe kaiser inafatwa kabisa kikamilifu"
hawa wengine wanatumikia mali familia na siasa na ndo maana makanisa yao hayaendelei, ona kanisa katoliki linvyoshamiri, linaweza hata kuendesha serikali, kwa maana ya serikali kuwa ni ya watu ndo pekee lingeweza kutumikia wananchi coz lipo mpaka madongo kuinama ambako serikali haipo.
Big up my church
Karibu CHADEMA chama cha Yesu!
Kanisa la ukweli hapa duniani ni RC tu haya mengine ni waganga njaa tu, kwa sheria za rc hairuhusiwi kuchanganya siasa na dini. Kama ni padre haruhusiwi kutumikia siasa, ile kauli ya " ya Mungu mpe Mungu na ya kaisari mpe kaiser inafatwa kabisa kikamilifu"
hawa wengine wanatumikia mali familia na siasa na ndo maana makanisa yao hayaendelei, ona kanisa katoliki linvyoshamiri, linaweza hata kuendesha serikali, kwa maana ya serikali kuwa ni ya watu ndo pekee lingeweza kutumikia wananchi coz lipo mpaka madongo kuinama ambako serikali haipo.
Big up my church
Hahahaha!Nilijua Askofu wa Arusha aliyefulia!
Kanisa la ukweli hapa duniani ni RC tu haya mengine ni waganga njaa tu, kwa sheria za rc hairuhusiwi kuchanganya siasa na dini. Kama ni padre haruhusiwi kutumikia siasa, ile kauli ya " ya Mungu mpe Mungu na ya kaisari mpe kaiser inafatwa kabisa kikamilifu"
hawa wengine wanatumikia mali familia na siasa na ndo maana makanisa yao hayaendelei, ona kanisa katoliki linvyoshamiri, linaweza hata kuendesha serikali, kwa maana ya serikali kuwa ni ya watu ndo pekee lingeweza kutumikia wananchi coz lipo mpaka madongo kuinama ambako serikali haipo.
Big up my church
Kanisa la ukweli hapa duniani ni RC tu haya mengine ni waganga njaa tu, kwa sheria za rc hairuhusiwi kuchanganya siasa na dini. Kama ni padre haruhusiwi kutumikia siasa, ile kauli ya " ya Mungu mpe Mungu na ya kaisari mpe kaiser inafatwa kabisa kikamilifu"
hawa wengine wanatumikia mali familia na siasa na ndo maana makanisa yao hayaendelei, ona kanisa katoliki linvyoshamiri, linaweza hata kuendesha serikali, kwa maana ya serikali kuwa ni ya watu ndo pekee lingeweza kutumikia wananchi coz lipo mpaka madongo kuinama ambako serikali haipo.
Big up my church