Askofu Anthony Mayalla is no more

Ninamkumbuka ArchBishop Mayala kwa suala moja tu. Kuwadharau mapadre wazawa wa Jimbo la Musoma. Hadi leo hakuna Padre MZALIWA wa Jimbo la Musoma amekuwa ASKOFU. Kwa nini?
Nipe mfano wa yupi anayefaa mimi binafsi naamini mapadre wa jimbo la Musoma hakuna anayefaa kuwa askofu. Na hii inatokana na jinsi nilivyokaa nao na kuwasoma mimi binafsi.
 
Nipe mfano wa yupi anayefaa mimi binafsi naamini mapadre wa jimbo la Musoma hakuna anayefaa kuwa askofu. Na hii inatokana na jinsi nilivyokaa nao na kuwasoma mimi binafsi.
Ungekaa pia na Samba, Balina mwenyewe alipokuwa Rector wa Makoko ungempa huo Uaskofu? Tuyaache hayo. Mapadre wa Mwanza, Morogoro, Moshi, Rulenge, ....ukiwachunguza hautapata Askofu.
 
Ungekaa pia na Samba, Balina mwenyewe alipokuwa Rector wa Makoko ungempa huo Uaskofu? Tuyaache hayo. Mapadre wa Mwanza, Morogoro, Moshi, Rulenge, ....ukiwachunguza hautapata Askofu.


Wild Card nilikuwa Makoko wakati wa Balina .Mayala na maaskofu ambao si wazawa iliuwa ni weakness yake kubwa lakini pia this man aliwatunza vyema mapadre wake .Sijapata kusikia lawama nyingi kama zile za Samba Musoma .Majuzo nimemsikia hata Balina alikwua Ujerumani anatafuta kusaida jimbo lake na nadhani bado ni mtumishi mwaminifu .Nakumbuka baada ya Balina kuwa Askofu alirudi Makoko Seminary kusema ibada pale ya shukrani .Guess what ? Wale wote tulio kuwepo pale watasema , Kanisa la Seminary kama walijua lilitikisika nakila mmoja nywele zilimsimama kichwani.Nadhani Balina ana kitu tofauti sana .Sijui siku hizi kama kabadilika .

Mayala apumzike , na jimbo katoliki Musoma naamini baada ya Msonganzila basi hawatahitaji lolote nje ya pale .Wako ma padre wana uwezo sana ila sasa tabia na misimamo .Samba alileta shida sana Musoma lakini Mungu anajua .

Mayala tumuombee bwana hakuna mkamilifu .
 
Wild Card nilikuwa Makoko wakati wa Balina .Mayala na maaskofu ambao si wazawa iliuwa ni weakness yake kubwa lakini pia this man aliwatunza vyema mapadre wake .Sijapata kusikia lawama nyingi kama zile za Samba Musoma .Majuzo nimemsikia hata Balina alikwua Ujerumani anatafuta kusaida jimbo lake na nadhani bado ni mtumishi mwaminifu .Nakumbuka baada ya Balina kuwa Askofu alirudi Makoko Seminary kusema ibada pale ya shukrani .Guess what ? Wale wote tulio kuwepo pale watasema , Kanisa la Seminary kama walijua lilitikisika nakila mmoja nywele zilimsimama kichwani.Nadhani Balina ana kitu tofauti sana .Sijui siku hizi kama kabadilika .

Mayala apumzike , na jimbo katoliki Musoma naamini baada ya Msonganzila basi hawatahitaji lolote nje ya pale .Wako ma padre wana uwezo sana ila sasa tabia na misimamo .Samba alileta shida sana Musoma lakini Mungu anajua .

Mayala tumuombee bwana hakuna mkamilifu .
Kuna kila dalili kwamba Balina atakuwa ArchBishop wa Mwanza. Samba amelivuruga sana Jimbo lile. Acha tu naye apumzike kwa AMANI. Huyu wa sasa simfahamu. Kilio changu ni kwamba imefika wakati sasa Jimbo la Musoma litoe ASKOFU. Fikiria tangu enzi ya Askofu Rudin hadi leo tumepata mapadre wangapi!
 
Aidha ippmedia wameripoti vibaya au Rais hajui kinachoendelea. Eti JK katuma salamu za rambirambi kwa CCT (Christian Council of Tanzania)! Tena ippmedia wakaandika Rais wa CCT ni Bishop Yuda Ruwaichi!

Kama kweli JK katuma salamu za rambirambi kwa CCT (ambayo Kanisa Katoliki sio mwanachama) badala ya TEC, basi huko Ikulu kumejaa wanywa ulanzi tu. Na kama alituma TEC kisha ippmedia ikaripoti CCT, basi huko ippmedia kumejaa walevi wa mbege!

===================================

headline_bullet.jpg
President Kikwete consoles church over the death



MayalaMwanza.jpg

The late Archbishop of the Catholic Church Mwanza Archdiocese, Anthony Mayala



The late Archbishop of the Catholic Church Mwanza Archdiocese, Anthony Mayala is expected to be buried next Wednesday, the church has said. He died suddenly on Wednesday while receiving treatment at Bugando hospital. He was 69.

The Communication Director for Mwanza Archdiocese, Father Christopher Kubeja, said the late Mayala would be buried in Epiphany Catholic Church in Bugando.

The archbishop died at the Bugando Medical Centre where he was rushed for treatment on Wednesday morning after complaining that he was not feeling well. It was established that the late Mayala had heart complications.

Fr. Kubeja said there would be a special mass before burial to be conducted at Kawekamo church, at the headquarters of the archdiocese and would be led by the Leader of the Catholic Church in the country, Polycarp Cardinal Pengo.

Born on April 25, 1940 at Ibindo, Kwimba district in Mwanza region, archbishop
Mayala was anointed as Mwanza archdiocese bishop after the late Bishop Renatus Butibubage was transferred to Geita Diocese.

Meanwhile, President Jakaya Kikwete has sent a condolence message to the Christian Council of Tanzania (CCT) following the death of Archbishop Anthony Mayalla.
A State House press statement issued yesterday in Dar es Salaam said the president sent the message through the CCT president Bishop Yuda Thadei Ru'waichi.

"I have been shocked by the saddening news of the death of Archbishop Anthony Mayalla of the Mwanza Catholic Archdiocese," read the statement in part, describing the demised cleric as a leader who devoted his life to serve the people regardless of the ethnic backgrounds and in development activities.




SOURCE: THE GUARDIAN
 
Last edited:
Back
Top Bottom