wakristo sasa kama albino vile, Chuki hii ni Dini gani inaamini ktk kuwachukia watu hivi!
Mkuu, Wakiristo usiwafananishe na Albino, Serikali inaendeshwa na Mfumo kristo ndio maana wanapendelewa, ukichoma kanisa unakamatwa, ukimuuwa albino hukamatwi, tumewaona wachungaji waliouwa maalbino lakini hadi sasa wanaendelea kuhubiri makanisani
Wakiristo wanalindwa zaidi kuliko albinos na vibaka
wasingekuepo wakristu hizo hasira wangezielekeza wapi.?