Askari walinda Amani wa JWTZ wauawa Darfur

Nimeona kwenye cnn,wameuwawa 7,nashangaa kwanini wote ni watanzania.Wanasema ilkuwa ambush na ni kwa mara ya kwanza kwa peace keepers kuuwawa wengi kwa mkupuo mmoja ama shambulizi moja.Inadaiwa kuwa walikuwa outnumbered.
Ni Watanzania pekee coz' tukio limetokea eneo ambalo ni Watanzania ndio wana-take control unless kama unaamanisha ni kwanini hawaku-fight back na wao kuua!
 
so sad tumepoteza mashujaa, ikumbukwe, ulinzi wa nchi yetu sio tu kwenye mpaka na nchi jirani, security goes beyond there.
 
Ktk kikosi chetu cha askari wa kulinda amani kule Darfur kuna mchanganyiko wa askari wa JWTZ na Polisi. Sasa yawezekana wakawa ni Polisi ama askari wa JWTZ. Hili ni jambo linaweza watokea askari wa nchi yoyote bila kujali ubora wa silaha na mafunzo. Poleni sana wafiwa na nawaombea majeruhi wapone haraka.
Uwezekano mkubwa ni polisi manake nilisoma taarifa kwenye source moja(sikumbuki) ikisema miongoni mwa 17 waliojeruhiwa, mmoja ni polisi wa kike....so, am not sure kama wanakaa pamoja au vipi!
 
Sijasema wange-fight back, jaribu kuelewa....nimeuliza muuliza swali ikiwa anaamanisha ni kwanin hawaku-fight back manake ameshangazwa kufa wanajeshi wa Tanzania peke yake!!
that was our sector na hiyo ambush kwa makusudi kabisa walioitega walikua na malengo ya kuuwa watanzania, am so sad kwa kweli!
 
that was our sector na hiyo ambush kwa makusudi kabisa walioitega walikua na malengo ya kuuwa watanzania, am so sad kwa kweli!
Yaani inatia uchungu sana hasa ukizingatia kwamba Peace Keepers wanaenda pale kwa ajili ya kulinda raia na wala hawaruhusiwi kuanza mashambulio hata kama wanawaona waasi!
 
Ni Watanzania pekee coz' tukio limetokea eneo ambalo ni Watanzania ndio wana-take control unless kama unaamanisha ni kwanini hawaku-fight back na wao kuua!
Nadhani unamaanisha tukio limetokea pahala ambako wanajeshi wa Tanzania walikuwa assinged for peace keeping.

Hilo haliondoi ukweli kuwa wamekuwa targeted miongoni mwa maelfu ya hao peace keepers.Na ndiyo maana mwanzoni kabisa niliuliza kwamba wanajeshi wa Tanzania walioko huko Darfur ni wangapi?
 
Nadhani unamaanisha tukio limetokea pahala ambako wanajeshi wa Tanzania walikuwa assinged for peace keeping.

Hilo haliondoi ukweli kuwa wamekuwa targeted miongoni mwa maelfu ya hao peace keepers.Na ndiyo maana mwanzoni kabisa niliuliza kwamba wanajeshi wa Tanzania walioko huko Darfur ni wangapi?
Kwani kuna mtu mkuu wangu ambae amekataa kwamba hawakuwa targeted? Labda suala la msingi ni je, walikuwa targeted kwavile tu ni Tanzanian forces or just kwavile ni one of Peace Keeping forces
 
Kwani kuna mtu mkuu wangu ambae amekataa kwamba hawakuwa targeted? Labda suala la msingi ni je, walikuwa targeted kwavile tu ni Tanzanian forces or just kwavile ni one of Peace Keeping forces

Kuwa targeted ninakokuzungumzia ndo uko kwa utaifa.Ama husomi posti na kuielewa?ama hujaona niliposema "miongoni mwa maelfu ya peace keepers"?

Sasa ulichotakiwa kujibu ni kunipa namba ama idadi ya wanajeshi wa Tanzania walioko huko,kwasababu kama wako kwa maelfu,thenhaitashangaza sana.

Again,wako maelfu na ni mchanganyiko kutoka mataifa mbalimbali.Ungetafakari zaidi bandiko langu,ungejuwa sikumaanisha "kuwa targeted kwasababu tu wao ni peace keepers".

Na pia si jambo la kawaida kwenye historia ya UN peace keeping kwa wanajeshi hao kuuwawa kiasi hicho(numberwise)kwenye shambulizi moja.Umeelewa mkuu?
 
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mauaji ya wanajeshi 7 wa kulinda amani kutoka Tanzania waliouawa na watu wenye silaha katika jimbo la Darfur, Sudan.

Source: Salim Kikeke, BBC
 
Nadhani unamaanisha tukio limetokea pahala ambako wanajeshi wa Tanzania walikuwa assinged for peace keeping.

Hilo haliondoi ukweli kuwa wamekuwa targeted miongoni mwa maelfu ya hao peace keepers.Na ndiyo maana mwanzoni kabisa niliuliza kwamba wanajeshi wa Tanzania walioko huko Darfur ni wangapi?


Tuko pamoja mkuu hata mi nadhani hiyo ambush ya makusudi kabisa walioitega walikua na malengo ya kuuwa watanzania, ni kujiuliza why tanzanians kwa mkupuo na ni kinani ?

R.I.P BROTHERS
 
Kuna mambo ya kujichunguza kwa kwanza kabla ya kuwalaumu hawa wachangiaji wanafurahia vifo vya askari wetu kama ni chuki tujiulize ilianzia wapi? imesababishwa na nani? na inalindwa na nani? na tunaelekea wapi? na huenda maswali makubwa ya ziada ya kujiuliza ni kwamba kuna watu wangapi ambao wameuawa na askari wa nchi yao wenyewe ambao wamelipa kodi ambazo ni mishahara ya hao askari inayowagharimia silaha mpaka chupi zao lakini huishia kuwaiba raia wasio na hatia na kuwapiga kama wezi kwa madai ya kutii amri za viongozi wao wasio na upeo.

Hebu tusafishe vidonda ndipo tutaweza kutibu majeraha ya mpasuko na chuki za namna hii.
 
Ni kawaida kwa wanajeshi maana hata wao wangewazidi wapinzani wangewaua kama walivyozidiwa na kuuawa,poleni watanzania kwa kupoteza wanajeshi wetu
 
Mimi ninasuluhisho la kudumu,majeshi yetu kwenda nchi za nje kulinda ulinzi wa amani naiomba serikali iwe makini tuache sifa za kijinga kwa kupoteza roho za watu wasiokuwa na hatia kwani ugomzi mwingi wa nje siku hizi una maslahi ya kimagharibi-kibepali tofauti na enzi tunapigania uhuru kusini mwa Africa interest ilikuwa ni moja tu kumng'oa mkoloni,lakini siku hizi naona kama majeshi sehemu nyingi yanapelekwa kuu support ukoloni uleule!!tuangalie zaidi African interest

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom