Askari walinda Amani wa JWTZ wauawa Darfur

let them die... That is their job..

Bro! Vmark hata ka ni kazi yao na jukumu lao,lakini inapotokea wenzetu wamepatwa na mauti ,Kumbuka wanafamilia zao,wengine walikuwa wanategemewa na Wazazi wao,ndg nk,pia walizaliwa kama wewe,uchungu ambao angeupata mzazi wako ama wangu hauna tofauti na hao Sojaz wetu!Elewa kuwa wale Waasi waliomba Tanzania ipeleke wanajeshi wake kwani walikuwa na imani nao kubwa,na ndio maana idadi ya askari wetu kule ni kubwa kuliko nchi nyingine za Afrika jua hilo nalo natumain ulikuwa hujui hilo bro.Chamsingi tuwafariji ndg waliopotelewa na wapendwa wao,R.I.P SOJAZ
 
Serikali kwa hili tu hawajitambui wanaweka roho za askari wetu rehani ili kuwanufaisha mabeberu,enzi za ukombozi mwa kusini ya Africa Jeshi letu lilienda kwa lengo la UKOMBOZI na UHURU wa mwafrika kutoka mikononi mwa wakoloni siku hizi ni viceversa tunaenda ili ku u support Neo-colonialism what for?Tutajijengea uadui na jirani zetu na mataifa mengine kwa kupenda sifa za kijinga

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Umeongea ukweli, ni dhahiri viongozi wetu wanapenda sifa ndo maana hata majirani zetu wametuchukia na sasa tunachukiwa na waasi wanaotetea rasilimali zao zinazopolwa na mabeberu, acha tuangamizwe kwa ufinyu ma maarifa na tamaa ya viongozi wanaojipendekeza kama kahaba na mwenye fweza. Kwanini lakini? na nnasema hata hizi chokochoko kwa kagame aende kikwete na ritz hiyo vita wasitusumbue bado wtz tuna matatizo mengi yamesababishwa na kiongozi huyu.
 
Sasa nani alikataa kwamba haikuwa ambush? Hizo habari za waislamu hapa si mahala pake kwanza ni za kipuuzi!!! Waislamu wa nchi gani ambao walitaka Papa awe mwafrika?! Sasa hata akiwa Mwafrika ndo atasaidia vipi ku-boost Uislam...hoja zingine wala hazina maana hata kidogo!!!

Naona umeshaanza pagawa..sijui huoni au aumeamua kujifanya hujui ni mwendelezo wa mjadala.
 
Wandugu nina langu la moyoni kuhusu mauji ya Wanajeshi wa Tz walioko Sudan kwaajili ya peacekeeping. Hivi huwa wakiwa huko hawa wanajeshi wanakuwa katika makambi kutokana na nchi au wanachanganywa wote. N a kama wanachanganywa iweje dhahama iwakumbe wa-Tz peke yao? labda kuna makundi kulingana na nchi. Na hapa ndipo napata hisia kuwa huenda (ni mtazamo wangu) kuwa jirani aliitumia kama opportunity ya kutekeleza ile kauli yake ya ku-hit. Anyways, mie si mjuzi sana wa haya masuala, wajuzi tuzujeni.
 
Wandugu nina langu la moyoni kuhusu mauji ya Wanajeshi wa Tz walioko Sudan kwaajili ya peacekeeping. Hivi huwa wakiwa huko hawa wanajeshi wanakuwa katika makambi kutokana na nchi au wanachanganywa wote. N a kama wanachanganywa iweje dhahama iwakumbe wa-Tz peke yao? labda kuna makundi kulingana na nchi. Na hapa ndipo napata hisia kuwa huenda (ni mtazamo wangu) kuwa jirani aliitumia kama opportunity ya kutekeleza ile kauli yake ya ku-hit. Anyways, mie si mjuzi sana wa haya masuala, wajuzi tuzujeni.
Mi naona ungejua kwanzawanakaaje huko, halafu ndo ukaleta maoni yako hapa.
 
Wandugu nina langu la moyoni kuhusu mauji ya Wanajeshi wa Tz walioko Sudan kwaajili ya peacekeeping. Hivi huwa wakiwa huko hawa wanajeshi wanakuwa katika makambi kutokana na nchi au wanachanganywa wote. N a kama wanachanganywa iweje dhahama iwakumbe wa-Tz peke yao? labda kuna makundi kulingana na nchi. Na hapa ndipo napata hisia kuwa huenda (ni mtazamo wangu) kuwa jirani aliitumia kama opportunity ya kutekeleza ile kauli yake ya ku-hit. Anyways, mie si mjuzi sana wa haya masuala, wajuzi tuzujeni.

Umeshaweka hisia zako halafu unaulza nini? hatakama tunatumia unknown IDs better kuwa makini na kauli zetu.
 
Naomba nisieleweke vibaya. Ndio maana nikasema huu ni mtazamo wangu, na ninaamini sio lazima sana mtazamo wangu urandane na mtazamo wa mtu mwingine. Na ndio maana nikaiweka hapa hii hoja, hivyo kama kuna mwenye mtazamo mwingine naye pia ana haki ya kuwasilisha. Kama huna unaweza kukaa kimya ili wenye hoja wachangie.
Aksanteni.
 
Wanajeshi kila nchi inapewa eneo lake,na hawachanganywi ,mf we utakuwa dodoma,jeshi la kenya labda morogoro ,kulingana na UN watakavyo wapangia eneo lenu na hakuna muingiliano
 
Wanajeshi kila nchi inapewa eneo lake,na hawachanganywi ,mf we utakuwa dodoma,jeshi la kenya labda morogoro ,kulingana na UN watakavyo wapangia eneo lenu na hakuna muingiliano
Ni Kweli kila jeshi la nchi Mfano JWTZ walioko DARFUR wanalinda Enzo lao kwa hiyo wanajulikana.

Anyway, Malipo wanayolipwa wanajeshi wetu wanaoenda Huko NI tsh 8,000,000/= kwa kipindi cha miezi 6, je does it worthy it ?

Je, hivyo ndio viwango vya UN? Je, NI kwanini wanapokuwa nje for peace keeping Huku nyumbani MALIPO YA FEDHA ZA CHAKULA ZINASIMAMISHWA, nani anazichukua?

NI kwanini wasilipwe vizuri ILI wafurahie Maisha Yao wanapotoka Huko kwa miezi Sita? Hadi mtu afe ndio alipwe dola 70,000?
 
Back
Top Bottom