sitakuwafisadi
Member
- Jan 23, 2011
- 62
- 13
2010 wakati wa uchaguzi mkuu kuna askari wa usalama barabarani alituhumiwa kuupoteza msafara wa mgombea urais kwa tiketi ya CCM J.M.KIKWETE.Baada ya kukamatwa askari huyu na akiwa chini ya ulinzi akihojiwa inadaiwa aliingia ndani ya gala la kutunzia silaha la kituo kikuu cha polisi TARIME na gala kuu la kanda maalumu ya kipolisi ya TARIME RORYA na kisha kujipiga risasi na kufa papo hapo!!
SWALI
- Je, aliyekuwa akimhoji alichukuliwa hatua gani kwa kosa la kumwacha huru mtuhumiwa aliye chini ya ulinzi wake?
- Je, mtunza stoo wa gala hilo la polisi aliyekuwa zamu siku hiyo alichukuliwa hatua gani kwa kosa la kuruhusu askari mtuhumiwa aliye chini ya ulinzi kuingia galani na kuchukua silaha?
- Je, mkuu wa polisi wa upelelezi alihusika ktk mauaji ya askari huyu ilikupoteza ushahidi wa maelezo ya askari huyo?
SWALI
- Je, aliyekuwa akimhoji alichukuliwa hatua gani kwa kosa la kumwacha huru mtuhumiwa aliye chini ya ulinzi wake?
- Je, mtunza stoo wa gala hilo la polisi aliyekuwa zamu siku hiyo alichukuliwa hatua gani kwa kosa la kuruhusu askari mtuhumiwa aliye chini ya ulinzi kuingia galani na kuchukua silaha?
- Je, mkuu wa polisi wa upelelezi alihusika ktk mauaji ya askari huyu ilikupoteza ushahidi wa maelezo ya askari huyo?