Mbuki Feleshi
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 155
- 29
Hii imetokea alfajiri ya leo ambapo askari wa mgodi wa dhahabu wa Geita aliyekuwa katika lindo
maeneo ya pit ya zaman iliyofungwa ya Lonkoni, aliwashambulia kwa risasi wananchi waliokuwa wameingia
maeneo ya mgodi bila ruhusa (maarufu kama watu wa "magwangara" yaani watu wanaoingia maeneo
ya mgodi ili kuokota mawe yasiyohitajika yaliyotupwa ambapo huyaprocess na kupata chochote).
Kwa mujibu wa maelezo ya masecurity hao wanadai watu hao walitumia nguvu kuingia kitendo kilichomfanya
askari huyo awafyatulie risasi na kumpiga tumboni kijana huyo ambaye alijeruhiwa vibaya sana na kupoteza
maisha yake papo hapo.
maeneo ya pit ya zaman iliyofungwa ya Lonkoni, aliwashambulia kwa risasi wananchi waliokuwa wameingia
maeneo ya mgodi bila ruhusa (maarufu kama watu wa "magwangara" yaani watu wanaoingia maeneo
ya mgodi ili kuokota mawe yasiyohitajika yaliyotupwa ambapo huyaprocess na kupata chochote).
Kwa mujibu wa maelezo ya masecurity hao wanadai watu hao walitumia nguvu kuingia kitendo kilichomfanya
askari huyo awafyatulie risasi na kumpiga tumboni kijana huyo ambaye alijeruhiwa vibaya sana na kupoteza
maisha yake papo hapo.