kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,751
- 595
Wewe unatofauti gani na Philip Mulugo? Kutoka Ruvu kuja Dar ni zaidi ya 50 km
mlandizi dar ni kilometa 60 hivi.
Wewe unatofauti gani na Philip Mulugo? Kutoka Ruvu kuja Dar ni zaidi ya 50 km
Some of you guys are pathetic.
You depict kindergattenship.
ni kati km 60-70Nisahihishe mkuu, lakini ni kati ya daraja la treni na daraja la mto ruvu.
Like uoza wa Wozoza, cheka basi tehe tehe tehe like the mirembe inmatesStupidity has no price tag.
Asante sana mkuu Ngambo Ngali , kuna watu humu wako eecentric wanafikiri kwa kadri walivyoruhusiwa na chama chao na si vinginevyo.Hakuna aliyejibu swali , swali ni Je Jkt wana mamlaka ya kisheria ya Kuwa na msafara barabarani ? Swali la pili , kama mtoa thread alikuwa amekosea Je alikuwa halali kwa wanaosimamia msafara kumtukana.
Maswali haya sioni kama yana ikitikadi ya chama au post za awali alizopost.
Hakuna aliyejibu swali , swali ni Je Jkt wana mamlaka ya kisheria ya Kuwa na msafara barabarani ? Swali la pili , kama mtoa thread alikuwa amekosea Je alikuwa halali kwa wanaosimamia msafara kumtukana.
Maswali haya sioni kama yana ikitikadi ya chama au post za awali alizopost.
Kutanua na ku-overtake ni vitu viwili tofauti kabisa.Badala ya kulalamikia matokeo ungeanza na chanzo kwanza. Kwa nini ulitanua? Hata mie niwapo kwenye foleni huchukua sana madereva wenye tabia mbovu kama yako.
Hayo maeneo unayoyasema speed limit ni 50, sasa wewe utasemaje kulikuwa na slow moving wakati wenzako walikuwa wanatii sheria? na wewe inaonekana ni mgeni hiyo barabara eneo hilo ni hatari sana kwani barabara inakutowa barabara na kukutupa nje kabisa kwa sababu haina kiwango na hasa kama gari yako inatumia matairi myembamba.Mkuu sijui kama unaelewa hiyo stori yenyewe.
Kutanua ni kama kuna foleni iliyosimama, na hakuna ruhusa ya kupita e.g. Kwenye intersection.
Mimi nilikuwa na overtake slow moving vehicles, elewe tofauti hiyo.
Kama umeshawahi kuendesha masfa marefu utaelewa situation hiyo, hasa kama umekwisha cover 750km na zaidi.
Kama wewe scope yako ni scenarios za magomeni na foleni za jijini si rahisi kuelewa.
Hayo maeneo unayoyasema speed limit ni 50, sasa wewe utasemaje kulikuwa na slow moving wakati wenzako walikuwa wanatii sheria? na wewe inaonekana ni mgeni hiyo barabara eneo hilo ni hatari sana kwani barabara inakutowa barabara na kukutupa nje kabisa kwa sababu haina kiwango na hasa kama gari yako inatumia matairi myembamba.
Nisahihishe mkuu, lakini ni kati ya daraja la treni na daraja la mto ruvu.
mi ningependa kama angekuchapa vibao kabisa kwanini upite wenzio? ndo vyanzo vya foleni nyie!