Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Wawe askari wa barabarani, polisi, mgambo na hata baadhi ya wanajeshi; pahala pengi unapokutana nao, wanavitambi. Hivi hii inaleta taswira gani kwa jamii yetu?! Tumeridhika sana, taifa lilozembe au hii ndiyo miili inayofaa karne ya 21 kwenye ulinzi?