Askari mtanzania ajiua (jana)

Kamaka

JF-Expert Member
Jun 7, 2010
563
33
Askari wa kikosi cha ffu mkoani iringa .pc mashauri, amejiua kwa kujipiga risasi, akiwa lindoni ofisi ya mkuu wa mkoa.kwa kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
 
Sijui nini maana ya mapenzi hebu tuma sehemu watu wajaribu kulijadili tuone kama kunahaja ya mtu kujiiuwa kwa sababu ya mapenzi
 
Askari wa kikosi cha ffu mkoani iringa .pc mashauri, amejiua kwa kujipiga risasi, akiwa lindoni ofisi ya mkuu wa mkoa.kwa kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

wewe ni mganda, mkenya au?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom