nani asiyekujua kama wewe ni zimwi wa jf.sibishani na mvaa vipedo a.k.a alsha bab.
basi peleka huja zako za kipuuzi kanisani, usilete hapa < kikojozi weeee
Daah, na waisilamu wanavyowadharau wanawake, sijui jamaa anajisikiaje huko rumande akikumbuka virungu alivyochezeshewa na mgambo mwanadada!kuna picha moja ya mgambo m/mke nimeona anamchezea mhuni virungu, nilisikia faraja.
wakiwezeshwa wanaweza
Mmmmh!!Japo inasikitisha ila haya mambo yanendana na elimu dunia pia,hivi walichokuwa wanakipigania ukiwauliza watajibu nini???Wavaa vipedo walipigwa mashuti hadi wakawa wanakimbilia difenda wapande hakuna aliyejifanya jeuri.Ilikuwa akikamatwa tu anaitafuta defenda na kuikimbilia fasta.Utafikili usafiri wa daladala kwenda Gongo la mboto au Mbagala mida ya jioni.