Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Naamka asubuhi leo tarehe 19 April nakwenda kujinunulia gazeti langu la Mwananchi gazeti hili limepambwa na picha moja kubwa inayoonyesha askari wawili wakike na watatu wakiume wakiwa wamempiga Tanganyika jeki mama mmoja na chini kuna maandishi yanayosomeka: Mtuhumiwa chini ya ulinzi halafu chini yake kuna maneno yasemayo mwanamke akiwa amedhibitiwa na askari magereza wa mkoa wa Morogoro baada yakudaiwa kufanya fujo! sasa kinachonishangaza ni kuwa kweli askari watano kumshika mwanamke mmoja tu? askari wa bongo wanahitaji mafunzo ya ziada sasa.