Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Watanzania wengi tumekuwa na mazoea ya kuwaona askari magereza wakisindikiza wafungwa mahakamani, kulinda wafungwa mahospitalini n.k
Hapa hali ni tofauti, sijui hapa huyu askari magereza alikuwepo kwa ajili ya kuangalia usalama au kumsikiliza Mh. Zitto.
Angalia picha na toa maoni.
Hapa hali ni tofauti, sijui hapa huyu askari magereza alikuwepo kwa ajili ya kuangalia usalama au kumsikiliza Mh. Zitto.
Angalia picha na toa maoni.