- Thread starter
- #21
Majina yote mabaya yao lakini wameuchuna tu.makonda wanawaita MAYAI VIZA!!!
Majina yote mabaya yao lakini wameuchuna tu.makonda wanawaita MAYAI VIZA!!!
Sina hakika kama ni sheria au mazoea kwa askari wetu,jeshi,polisi,magereza,zima moto na uhamiaji huwa hawalipi nauli hasa kwenye dala dala wanapoenda /kurudi kazini au kwenye shughuli zao zingine ili mradi tu wana sare zao,papo hapo wafanyakazi wengine,hata wenye vipato vidogo na wanafunzi wanalipa kama kawaida.Je ni kwamba kazi zao ni muhimu sana kuliko za wengine au ni kuwaogopa?
Ikiwa ni pamoja na kuendekezwa aka kuogopwa.Hakuna sheria inayowapa mamlaka ya kutokulipa nauli, mambo wanayoyafanya ni wizi kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri.