Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Anabaka kuku?
ni visual tu
lakini ujumbe unajitosheleza, kijibwa kilafi kinaweza kula hata mchanga, bila kujali anything, ndipo tulipofikia sasa, wanaiba, wanaua, wanatekana, wanatishana, wanatutisha, hawana manners, wa barabarani ndio usiseme, ukimpa lifti anatoa siri zote hadi za vipele alivyonavyo sehemu za siri.....
yote hiyo ni kupigika na maisha, kupigwa na walafi wachache wenye vyeo vya juu, kupigwa na mfumo uliosahau usawa nk.
we are eating each other indirectly