Hivi hao maafisa usalama wakiugua watapelekwa India pia? Na wake zao wakitaka kujifungua watapelekea Johanesburg? Madaktari wakiamua kuwafanya unyama maafisa usalama watasalimika? Wakiamua kuwadunga sindano zenye virusi au sumu watakwepa? Mbona wanatangaza vita wasiyoiweza?