Askari akitembea juu ya moto

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
fire.jpg
 
Maaskari wengi wanaoitwa "Special Forces" hayo ni mazoezi ya kawaida sana!
 
naombeni kujua lengo la mazoezi haya.
kwamba wanafanywa sugu ili baadae hata wakiwa kwenye moto wasiungue au?
hivi hata nchi zilizoendelea wanafanya mazoezi kama haya?
kama lengo ni kuweza kuukabili moto,si kuna vifaa mf. mavazi yanayozuia moto,au tanzania haina uwezo na vifaa hivyo ndo maana inabidi askari wake wawe na miguu/nyayo ambayo ni fireproof.
naombeni majibu jamani maana nawaonea huruma hawa askari.haya ni mateso
 
Pamoja na shuruba zote hizo masikini wanalipwa mishahara kiduchu mno
 
naombeni kujua lengo la mazoezi haya.
kwamba wanafanywa sugu ili baadae hata wakiwa kwenye moto wasiungue au?
hivi hata nchi zilizoendelea wanafanya mazoezi kama haya?
kama lengo ni kuweza kuukabili moto,si kuna vifaa mf. mavazi yanayozuia moto,au tanzania haina uwezo na vifaa hivyo ndo maana inabidi askari wake wawe na miguu/nyayo ambayo ni fireproof.
naombeni majibu jamani maana nawaonea huruma hawa askari.haya ni mateso

Huyo yupo kwenye kitengo cha entertainment au mazingaombwe!!!!
 
naombeni kujua lengo la mazoezi haya.
kwamba wanafanywa sugu ili baadae hata wakiwa kwenye moto wasiungue au?
hivi hata nchi zilizoendelea wanafanya mazoezi kama haya?
kama lengo ni kuweza kuukabili moto,si kuna vifaa mf. mavazi yanayozuia moto,au tanzania haina uwezo na vifaa hivyo ndo maana inabidi askari wake wawe na miguu/nyayo ambayo ni fireproof.
naombeni majibu jamani maana nawaonea huruma hawa askari.haya ni mateso

Wanaongezewa ARI ya kujiamini kuwa kila kitu kinawezekana. Ukijiamini unaweza hata ukadaka risasi iliyofyatuliwa!!
 
Signature yako inawasilisha ukweli ambao wengi hawaupendi wala kuubali
Hongera

ni kweli lkn nawaonea huruma maana mim naponda maraha ndani ya Yesu.
hata hivyo kila kinywa kitakiri kuwa Yesu ni bwana,narudia kila kinywa na kila goti litapigwa mbele ya mfalme wangu.
Yaani acheni tu jamani kwa Yesu kuna raha ndio mana sina cha kumlipa bali kumkiri kila nipatapo fursa.
 
Back
Top Bottom