Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
ni adhabu au ndo mazoezi.
kweli tuliambiwa tutakula kwa jasho,,hii ni zaidi ya jasho.
.....Ni kuonyesha kila kitu kinawezekana under the Sun.
naombeni kujua lengo la mazoezi haya.
kwamba wanafanywa sugu ili baadae hata wakiwa kwenye moto wasiungue au?
hivi hata nchi zilizoendelea wanafanya mazoezi kama haya?
kama lengo ni kuweza kuukabili moto,si kuna vifaa mf. mavazi yanayozuia moto,au tanzania haina uwezo na vifaa hivyo ndo maana inabidi askari wake wawe na miguu/nyayo ambayo ni fireproof.
naombeni majibu jamani maana nawaonea huruma hawa askari.haya ni mateso
Cheusi umeniacha hoi kwa mwaswali yako
hata mim yameniacha hoi.
huyo kwenye avatar ni wewe au ndio wifi yetu?
ana shepu matata.
hivi mfukunyuzi kapotelea wapi jamani,nampenda sana yule baba.
naombeni kujua lengo la mazoezi haya.
kwamba wanafanywa sugu ili baadae hata wakiwa kwenye moto wasiungue au?
hivi hata nchi zilizoendelea wanafanya mazoezi kama haya?
kama lengo ni kuweza kuukabili moto,si kuna vifaa mf. mavazi yanayozuia moto,au tanzania haina uwezo na vifaa hivyo ndo maana inabidi askari wake wawe na miguu/nyayo ambayo ni fireproof.
naombeni majibu jamani maana nawaonea huruma hawa askari.haya ni mateso
Signature yako inawasilisha ukweli ambao wengi hawaupendi wala kuubali
Hongera