silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Aliyemtusi JK mbaroni
LABDA WATU HAWAJUI METHALI...
"""POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imemtia mbaroni mgombea ubunge jimbo la Temeke kwa tiketi ya CHADEMA, Dickson Nghili, kwa tuhuma za kutumia lugha ya matusi dhidi ya mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete. Nghili (33), mkazi wa Mbezi Jogoo, alikamatwa jana, ikiwa ni siku moja baada ya kudaiwa kutoa maneno hayo katika mkutano wa kampeni wa chama hicho, uliofanyika katika viwanja vya Mwembe Yanga, wilayani Temeke. Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Suleiman Kova, alisema Nghili alikamatwa jana saa nne asubuhi, eneo la Temeke.
SOURCE: UHURU: Wednesday, 27 October 2010 21:27 ""
LABDA UPEO WANGU WA KUFIKIRI MIMI NI MDOGO,, NINACHOJUA MIMI "" ASIYEFUNZA NA MAMAYE ATAFUNZA NA ULIMWENGU"" NI MANENO AMBAYO BABUZETU HUTUMIA KAMA METHALI,, AMBAZO HUSAIDIA KUWAASA WATU MBALIMBALI AMBAO WANAKWENDA KINYUME NA MAADILI YA JAMII YAO..
SASA SIJUI NI TUSI GANI AMBALO NG'hILI ALIMTUKANA KIKWETE PALE TEMEKE???
LABDA WATU HAWAJUI METHALI...
"""POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imemtia mbaroni mgombea ubunge jimbo la Temeke kwa tiketi ya CHADEMA, Dickson Nghili, kwa tuhuma za kutumia lugha ya matusi dhidi ya mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete. Nghili (33), mkazi wa Mbezi Jogoo, alikamatwa jana, ikiwa ni siku moja baada ya kudaiwa kutoa maneno hayo katika mkutano wa kampeni wa chama hicho, uliofanyika katika viwanja vya Mwembe Yanga, wilayani Temeke. Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Suleiman Kova, alisema Nghili alikamatwa jana saa nne asubuhi, eneo la Temeke.
SOURCE: UHURU: Wednesday, 27 October 2010 21:27 ""
LABDA UPEO WANGU WA KUFIKIRI MIMI NI MDOGO,, NINACHOJUA MIMI "" ASIYEFUNZA NA MAMAYE ATAFUNZA NA ULIMWENGU"" NI MANENO AMBAYO BABUZETU HUTUMIA KAMA METHALI,, AMBAZO HUSAIDIA KUWAASA WATU MBALIMBALI AMBAO WANAKWENDA KINYUME NA MAADILI YA JAMII YAO..
SASA SIJUI NI TUSI GANI AMBALO NG'hILI ALIMTUKANA KIKWETE PALE TEMEKE???