Duuh hii Kali hata hiyo nanihh hana Keki hiyo haina Utamu hakuna raha zozote zile ni maji matupu kama Mto basi ni Mro Wa Ruvu ehhhh Kasheshe kweli wanene.
nilizani mimi ni mnene kumbe kuna walionizidi
Unajua hapo hata kama akifanya mazoezi ya aina gani hawezi pungua,laba anywe uji asubuhi,mchana na jioni mwaka mzima
huyu lunch anakula kuku mbili mikate miwili, na ndizi mbivu tano hivi!! hilo tumbo mchezo kakaa!!!huo ndio aliokuwa anakunywa..... ila alikuwa ameongeza siagi, asali mayai mabichi , maziwa pamoja naparachichi..... ndio ulipomfikisha hapo
Tatizo watu hawayajulii hayo ukitaka kufaidi na utawachukia wenye miili midogo
kwanza kabisa ukutaka kulifaidi msitumie kitanda wala godoro iwe sakafuni,kuwepo vistuli na mito mgumu na ya kutosha