Lazima kuna job description kwenye tangazo la kazi wakati ulipoapply, au umepata kazi kishikaji bila interview?! Na kama wewe ni qualified mhasibu hofu yako ni nini?Wandugu nimepata nafas ya uhasibu wa project sasa mwaweza nisaidia kuanaliz kaz muhmu ambazo project acountant anaweza kufanya.
Wandugu nimepata nafas ya uhasibu wa project sasa mwaweza nisaidia kuanaliz kaz muhmu ambazo project acountant anaweza kufanya.
NAOMBA KUJUA YAFUATAYO KABLA YA KUKUPA USHAURI:
1. Hiyo kazi ulipewa kirafiki au uliomba?
2. Aliyekupa kazi hakukupatia JD/JP kuonyesha anatarajia ufanye nini?
3. Hiyo project ni ya aina gani?
Womanof Substance!
Unataka umsaidie nini huyo kihiyo. Sifahamu kama kuna Accountant ambaye kweli amekwenda shule ambaye hana overview ya project management. I stand to be corrected even a book keeper knows to make entries for a days transactions atajua kafanya transactions ngapi kwa siku na kutoa summary kabla ya kwenda kupanda basi arudi kwao Kibamba au hata Mbagala Kizuiani kwa shangazi au baba mdogo.
Matatizo yanaanzia toka wakiwa chekechea kujifunza kukariri tu na baada ya mtihani wanakimbilia kuosha vyombo kucheza mdako au kukimbiza matambara this generation of Wadanganyika is a natural calamity upuuzi mtupu ndio maana vinapiga kura kuchagua CCM just wakipewa ubwabwa and this rotten CCM likes it.
Look at the young ladies /boys coming from mabibo hawana tofauti. Hata kuvuka barabara hawawezi mpaka mpumbavu mmoja wa TANROADS kaweka matuta ya viazi pale Mandela road waweze kuvuka halafu one Idiot from Mlimani anawapelekea mabasi umbali wenyewe du bila mazoezi hiyo akili itatoka wapi acheni hizo!
Inaonekana na wewe ndio kama huyo jamaa asiyejua wajibu wa kazi aliyoomba mwenyewe na kupewa! Kama kweli hajapewa kishikaji/kifisadi kwa nini asijue job description wakati anatuma maombi? WAJIBU WAKO KAZINI (Job Description) UNAKUWA NA UFAHAMU NAO KABLA YA KUOMBA KAZI.au umepata kazi kishikaji bila interview?! Na kama wewe ni qualified mhasibu hofu yako ni nini?
HEEEEEEEEE JAMANI MBONA JF MNAHUKUMU MAPEMA..AJAKULAZIMISHA KUJIBU WAACHE WENYE UWEZO WAMSAIDIE...HATUTAKI ""MAFATAKI"" WA UANDISHI WA HABARI
Hehe me si fisadi wa kupewa nafsi kwa kujuana nina qualificatin zangu.may be nilipresent vibaya, niko kazin nibepewa kitengo cha mirad, na kama vile nakomolewa. miradi yetu ni hiring of halls, printing press, hostel na ukumbi wa mikutano
if u r the right passenger on the bus then ride on .... if not jump out of it upesi
Kama unajuwa majibu msaidie, si vyema kumwambia mtu aachie ngazi. Ni kweli inawezekana kazi kapata katika mazingira mazuri tu (yasiyo na ubabaishaji wenye rushwa na kubebana). kwahiyo mshauri mtu kulingana na anavyoomba yeye HATA kama hujapenda/hujapendezwa na anavyopresent issue yake. msaidie WOS na si umfukuze...otherwise tabia yako ni ya kufukuza? sorry!
Womanof Substance!
Unataka umsaidie nini huyo kihiyo. Sifahamu kama kuna Accountant ambaye kweli amekwenda shule ambaye hana overview ya project management. I stand to be corrected even a book keeper knows to make entries for a days transactions atajua kafanya transactions ngapi kwa siku na kutoa summary kabla ya kwenda kupanda basi arudi kwao Kibamba au hata Mbagala Kizuiani kwa shangazi au baba mdogo.
Matatizo yanaanzia toka wakiwa chekechea kujifunza kukariri tu na baada ya mtihani wanakimbilia kuosha vyombo kucheza mdako au kukimbiza matambara this generation of Wadanganyika is a natural calamity upuuzi mtupu ndio maana vinapiga kura kuchagua CCM just wakipewa ubwabwa and this rotten CCM likes it.
Look at the young ladies /boys coming from mabibo hawana tofauti. Hata kuvuka barabara hawawezi mpaka mpumbavu mmoja wa TANROADS kaweka matuta ya viazi pale Mandela road waweze kuvuka halafu one Idiot from Mlimani anawapelekea mabasi umbali wenyewe du bila mazoezi hiyo akili itatoka wapi acheni hizo!
Mhh eti JF ni mahali pa kusaidiana kwa matusi!
Mi nilidhani kuna majibu ya wanaojiona wasomi kujibu wasio wasomi ili na wasio wasomi wawe wasomi kumbe wasio wasomi wanaambulia matusi?
Haya Bwana!
Ningekuwa msomi wa hiyo fani ningekujibu bwana lakini sielewi jinsi ya kukusaidia. Pole ndugu
ndugu yangu..hebu angalia juu..utaona post ya pili ni yangu na nimemuuliza maswali kistaarabu kwa lengo la kumsaidia... nadala ya kuonyesha ushirikiano..hebu ona alijibu nini.... na ndio nikamwambia kama anajiona anafaa kwa hiyo kazi ni vema aendelea ila kama siyo basi ni afadhali akaachana nayo.Wapi nimekosea au kumfukuza...
Mkuu Bang'a,Hehe me si fisadi wa kupewa nafsi kwa kujuana nina qualificatin zangu.may be nilipresent vibaya, niko kazin nibepewa kitengo cha mirad, na kama vile nakomolewa. miradi yetu ni hiring of halls, printing press, hostel na ukumbi wa mikutano
Mkuu Bang'a,
pole na kazi. Mimi sio accountant lakini naweza kukusaidia kiasi fulani kwa uelewa wangu.Mwisho wa siku, chapa kazi inavyotakiwa. unaweza kuni-pm tukaeleweshana zaidi maana hata mimi naamini naweza kujifunza mengi kutoka kwako.
- Kwanza nakuomba uondoe dhana potofu ya kukabidhiwa kitengo kwa kukomolewa, we call that a challenging job, ina maana sasa unapata nafasi ya kujifunza vitu vipya kazini kwako. It is up to you to call a glass half empty or half full of water...
- Kwa upande wa accounts, mimi ninavyoelewa (wahasibu mtanisahihisha ikibidi) accountant kazi yake ni "to capture and record all transactions, operations, activities and other developments that have financial consequences". Hivyo wewe kama accountant, regardless of nature of the project, hizo ni kazi utahitaji kuzifanya kwa upande wa ndani ya kampuni.
- Kwa upande wa nje ya kampuni utatakiwa kuangalia zaidi mambo ya compliance..... hapo wewe utaelewa vema zaidi mkuu kuliko hata mimi nisikutafunie vibaya.