Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaka we ni mdau nini -- hii info ni nyeti sana ww umejuaje?
Tuletee hizo takwimu zako,Je, hii inaleta tafsiri gani kwa next generation? Pia, kama tutapata %kubwa ya viongozi serikalini, pata picha Bunge litakuwaje? Maofisini je?
Hahahaah....kinachomchanganya huyu ni Kiingereza chao!!Sio kweli...viingereza vile?? MY MILK IS STANDING!!
Hahahaah....kinachomchanganya huyu ni Kiingereza chao!!
Definition ya "Uchangudoa" inabidi itafutwe upya... Maana maofisini (kwenye elite class) kuna zaidi ya uchangudoa!
viingereza vyao kwakweli ni matatizo, rafiki yangu wa kigeni alienda kumnunua mmoja wakati wanaongea yule binti akasema 'you hit me' akimaanisha 'you heard me', rafiki yangu mgeni alikasirika sana akataka amdunde ngumi maana alikuwa tayari ameshapata mbili tatu, akaanza kulalamika kuwa kahaba anamsingizia kampiga wakati hata hajamgusa! hao ndo unasema wasomi? Wengine ni hulka yao tu hasa videnti vya darisalama, wengi wao wale wa vyuo vyuo ni vikahaba vizuri tu, so wakati anasubiria ajira pengine inabidi aweke mashine sokoni ili kusurvive