Asilimia 99 ya wanawake wanajiuza...!

kila kitu in life sometimes ni tafsiri tu....
sasa ukileta tafsiri ya kuwa chochote tunachokifanya ni kwa ajili ya kipato
utakuja kujikuta hata wewe ni 'malaya' wa aina fulani..

jiulize hili mtu anasoma ili apate kazi....na anafanya kazi ili apate kipato
je wote wanaofanya kazi kwa kipato ni 'malaya wa aina fulani'?
The Boss at his best!ahahahahhhahhah haya kwa jiyo nikifundisha darasani ili nipate award kwa kutoa A nyingi na mi ni malaya uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwih! BAKITA mko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe weka 99.99% wanajiuza tuuuuu,ukiona demu anakuonga ujue ashaona future nzuri kwako so anawekeza tu au anataka marital status maried.. kisukari punguza pressure.
 
Last edited by a moderator:
The Boss at his best!ahahahahhhahhah haya kwa jiyo nikifundisha darasani ili nipate award kwa kutoa A nyingi na mi ni malaya uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwih! BAKITA mko wapi?

Unajua kama uliwahi kumsoma Karl Max
ndie alieanzisha upuuzi huu wote
yeye aliwahi kusema 'marriages is some kind of prostitution '
so huyu mleta mada ndo kaitoa huko
hii ni very old argument...wala sio mpya
nilichomjibu ni kuwa 'kila kitu ni tafsiri'
ndo maana kina Jlo na Beyonce huko makwao wanaabudiwa
na kupewa awards lakini nchi zingine kama Saudi Arabia labda wangekatwa vichwa hadharani
go figure that
 
naunga mkono hoja kiongozi,we mpz wako mkitoka kuduu tu usipomtoa ananuna sa ndo nn,mm mwenyewe huwa nakaa naskuti huwa napata majibu kama hayo ya mtoa mada
 
kwa hiyo?ukisema hivyo,ina maana unawasema hata dada zako,au ndugu zako wa kike.jee mnashikwa mashati kutoa hizo hela?au mnazitoa wenyewe?

Diabetes, hiyo avatar yako tayari inaashiria kupiga mzinga. umenyoosha mkono kupokea faranga au?
 
vyovyote itakavyokuwa kama zinaaa ni zambi kila mtu ana ac yake hii ni linaukweli kwani hata dna test zinaonyesha zaidi ya 51% ya vipimo vya utambuzi huwa vinawakataa wazazi
 
mleta maada uko sahihi na kuunga mkono maana wanawake wengi niliokaa nao karibu ukiwasikiliza au ukiangalia ndoa zao wanaishi kwa sababu ya kipata, wadhifa, wa mmewe na siku zikitoweka wao ndio wakwanza kusepa

Na wale wanawake wanaowazidi waume zao vipato na wanahudumia familia including huto mwanaume basi waume zao pia wanajiuza kwao kwi kwi kwi.Na siku ukiishiwa umapomwomba mamsap akutoe pia hesabu umejiuza siku hy kwi kwi kwi
 
Kweli....
1. Kujiuza kiustaarabu : indirectly
2. Kujiuza kwa kujitangaza : directly
 
JF Senior Expert Member Array

Join Date : 22nd August 2008
Posts : 18,951
Rep Power : 8604
Likes Received5021
Likes Given12167

[h=2]
icon1.png
Mwanaume ukilalamika hivi hutokuja kuoa, sasa unataka mkeo apewe pesa na nani?[/h]
Kama Wanawake wataendelea na hii tabia,sitoshang
aa wanaume kuendelea kuweka mgomo wa kuoa
na kuendelea kulalamikiwa kwamba
wanawachezea...
Hivi inakuwaje unaanza uhusiano na mtu,hata wiki
hujamaliza unaanza kumwambia Baby naomba kama una laki 3 haina kazi ya haraka haraka
natakiwa nikakomboe dressing table yangu kwa
fundi...Laki 3 ya haraka haraka??Mshahara wenyewe
tu sipewi haraka haraka nausubir
i hadi mwisho wa mwezi,we hiyo haraka haraka
itatokea wapi??Kama unadhani kuna hela ya haraka haraka itafute uone,mbona we hauna?Dressing
Table uweke oda ww,mimi sikuwepo,halafu kuilipia
unapiga mzinga huku...haya hilo moja.
..Mara utasikia Baby naomba hela nipande Bajaj
daladala ntachafuka,sio mbaya its ok,sh ngapi Bajaj
itakutosha..Elfu 30..khaaKwani siku hizi kuna Bajaj za Dar kwenda Moro?Arrgh bora chama la Bachela,wizi
mtupu...Bado hujaombwa hela ya BBM ime-expire.Si
ununue mwenyewe,kama huna na wewe Expire.
My take: haya sio maneno ya saint ivuga nimeyaokota kwa watu huko wakilalamika mm nahudumia CUTE wangu na wala yy sio mtu wa mizinga​

Last edited by Saint Ivuga; 27th September 2012 at 11:01.​
 
Sidhani kama takwimu hizo ni sahihi kwenye asilimia99 kuna mama zetu kuna dada zetu kuna mashangazi na kadhalika kwahiyo wote wanajiuza.
 
Wenyewe asilimia mia mbili ni malaya wa rejareja bora anaejauza... Hamna mwanaume mwenye mwanamke zaidi ya mmoja hamtaki kukubaliana na fact kuwa mwanaume kuhonga ni sunna!!!
 
kuna jamaa yangu alinielezea kwamba, %99 ya wanawake wanajiuza, Wengine Directly others Indirecty aliendelea kueleza kwamba, Directly ni wale ambao wanajiuza barabarani wakisubili wateja wao,Indirectly ni wale ambao wanampenda mwanaume kwa sababu ana kitu fulana ,inaweza ikawa anapesa au ana Cheo fulani au anafanya kazi nzuri hawa ni wale ambao ukifilisika mapenzi yanapungua kama sio kuisha kabisa,na ndoa inaanza kuwa mguu pande.

Aliendelea kuelezea kwamba watu kama hawa hata ukitoka naye out ,pamoja kwamba naye anafanya kazi hata hachangiii hata senti tano,sometimes anatoa lakini baada ya hapo lazima akupige mzinga kama sio siku hiyohiyo basi siku nyingine.aliendelea kueleza kuwa wanawake /wadada wa namna hii wapo wengi maofisini na vyuoni na baadhi kwenye ndoa.

Akasema %1 ya wanawake wana mapenzi ya kweli anaweza kukupenda hata kama hauna kazi au hata kama kipato kimepungua,na ukifukuzwa anakuwa anauzunika sana na anakuwa karibu sana na wewe . hata kama wote mnafanya kazi basi kusaidiana kunakwepo kutegemeana na uwezo wa kipato cha mwenzake.

Kwa kweli nilimbishia jamaa yangu, nikamwambia asilimia hiyo 99 ni kubwa mno naomba upunguze akasema hawezi punguza hiyo ndiyo fact, sasa wakuu naomba comments zenu juu ya suala hili je kweli.Wakina kaka na wakina dada naomba tusaidie juu ya suala hili kama ni kweli ,karibuni..

acha kuwakosea heshima kina mama....hivi unajua %99 hata bi mkubwa wako anaweza kuingia humo . Bora ungesema %99 ya kinadada...
 
mapenzi na pesa ni kinyume kabisa na kanuni za uumbaji! Utakuta kabinti ka miaka 16 kana libabu au kavulana ka na libibi hilo sasa kuna mapenzi kwl hapo? Mtoa mada yupo sawa hata hao mama zetu wamehongwa sana mpaka kuolewa na baba zetu
 
Back
Top Bottom