Asilimia 99 ya wanawake wanajiuza...!

ndiyomkuusana

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
666
421
kuna jamaa yangu alinielezea kwamba, %99 ya wanawake wanajiuza, Wengine Directly others Indirecty aliendelea kueleza kwamba, Directly ni wale ambao wanajiuza barabarani wakisubili wateja wao,Indirectly ni wale ambao wanampenda mwanaume kwa sababu ana kitu fulana ,inaweza ikawa anapesa au ana Cheo fulani au anafanya kazi nzuri hawa ni wale ambao ukifilisika mapenzi yanapungua kama sio kuisha kabisa,na ndoa inaanza kuwa mguu pande.

Aliendelea kuelezea kwamba watu kama hawa hata ukitoka naye out ,pamoja kwamba naye anafanya kazi hata hachangiii hata senti tano,sometimes anatoa lakini baada ya hapo lazima akupige mzinga kama sio siku hiyohiyo basi siku nyingine.aliendelea kueleza kuwa wanawake /wadada wa namna hii wapo wengi maofisini na vyuoni na baadhi kwenye ndoa.

Akasema %1 ya wanawake wana mapenzi ya kweli anaweza kukupenda hata kama hauna kazi au hata kama kipato kimepungua,na ukifukuzwa anakuwa anauzunika sana na anakuwa karibu sana na wewe . hata kama wote mnafanya kazi basi kusaidiana kunakwepo kutegemeana na uwezo wa kipato cha mwenzake.

Kwa kweli nilimbishia jamaa yangu, nikamwambia asilimia hiyo 99 ni kubwa mno naomba upunguze akasema hawezi punguza hiyo ndiyo fact, sasa wakuu naomba comments zenu juu ya suala hili je kweli.Wakina kaka na wakina dada naomba tusaidie juu ya suala hili kama ni kweli ,karibuni..
 
kwa hiyo?ukisema hivyo,ina maana unawasema hata dada zako,au ndugu zako wa kike.jee mnashikwa mashati kutoa hizo hela?au mnazitoa wenyewe?
 
Ndugu kisukari, kwa kweli sina uhakika kuhusu dada zangu, labda mabwana zao ndiyo watadhibitsha hilo kwamba wapo kwenye %99 au wapo kwenye %1, asante sana.
 
kwa hiyo?ukisema hivyo,ina maana unawasema hata dada zako,au ndugu zako wa kike.jee mnashikwa mashati kutoa hizo hela?au mnazitoa wenyewe?
Punguza jazba Dada halafu elewa mada, kuna ukweli fulani kwenye hili, ila Wanawake waliopo kwenye ndoa na ambao hawasaliti ndoa zao hawausiki na mada hii, lakini wadada ambao wapo single kitendo cha kutembea na mume wa mtu ni kujiuza tu wala hakuna lugha nyingine au kusema ni mapenzi, pale ni msako wa pesa tu.
 
ndiyomkuusana fulani kasema alikupa nakata ya huo utafiti? Hakuna mtu anayependa maisha ya kubahatisha hata sisi wanaume tukumfunguliwa mke biashara halafu ikayumba mapenzi nayo hupungua kwa wake zetuu, jee na sisi tunajiuza kwa kuwachukia wake zetu pale wanapokata mitaji ya biashara za familia?
 
Last edited by a moderator:
i do concur....maana siku hizi ukitaka upate goma lazima ukubali mizinga hilo la kwanza kabisa. pili ata ukitaka kuoa wazazi watakuuliza una nini na unafanya nini?
mie nacho shauri ni wee usijali kuhusu wao kujiuza indirectly...la msingi hapa ni kumega na kuenjoy. ukichoka una mbwaga tuu
 
Huwezi kuuza bidhaa pasipo wayeja,kwa asilimia hizohizo hata sisi wanaume ni wanunuzi wazuri
 
Wengi wa wanawake wapo kimaslahi zaidi..according to my experience too..
But to be specific i cant mention the percentage..ila 99% sounds a bit too much..
 
Mtoa mada, huyo aliyekupa hiyo percentage, amekwambia utafiti wake aliufanyia nchi gani? Naogopa kupingana na hiyo 99% kwa sababu sijui anaongelea wanawake wa nchi gani...! Ila kama anaongelea TANZANIA.... Napingana nae KWA HERUFI KUBWAAA..!
 
It is all the school of thought, but everything is business, even the relationship is the the business; where we invest our time, money, energy, skills and many other resources. Some women are in the market for sale (they are marketing themselves all the time) but some women are there for unconditional love. The only thing I hate the most is when what you have bought get out of your hands by force because you are now poor.
 
ni kweli kabisa mkuu,mambo yakikuendea kombo wife atakua anakupa mgongo kitandani hana upendo tena
 
Mhubiri anaema: Katik wanaue mia aliona mmoja mwenye busara ,katitika wanawk1000 hakona hata mmoja!
So hio 99% ni ndogo, weka hivi:100% yao wanafanya hivyo, including mke wa Mugabe, Mswati, Muluzi, Xuma na mmoja wa hapa Africa Mashariki alisababisha Mwanamuziki kupelekwa Lupango Maisha.....to mention a few of high calibre!
 
Back
Top Bottom