Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Aslimia kubwa ya wanandoa wanaishi maisha ya upweke katika maisha yao
haya yameandikwa na taasisi moja inayoshugulikia matatizo ya ndoa na
familia kwa jumla...katika waraka wao wameainisha baadhi ya sababu zinazofanya kutoishi kwa furaha ikiongozwa na uzinzi,kutokuwa na upendo wa kweli,ubishi,majigambo,ubaili katika ndoa,na kutokuwa wazi kwenye ndoa zao na mengine mengi tu..pamoja na hayo wamebainisha katika watu wenye uvumilivu dunian basi nii waanandoa.wanandoa wengi wamekuwa wakivumiliana
bila kujali tatizo zao na wengi imekuwa vigumu kuwajua tofauti zao mpaka pale utakapokuwa karibu nao..katika hilo waameonyesha wanandoa wengi ni wasiri kwenye matatizo yao..ndio maana ahata kama wameachana miaka 11 ukifika kwenye ndoa za watoto wao wamekuwa kitu kimoja bila kujali huyu alioa ama amelolewa na mwingine ........
Ukipata muda zaidi wasiliana na mgedwin3@yahoo.com kupata msaada zaidi wa waraka huu....
haya yameandikwa na taasisi moja inayoshugulikia matatizo ya ndoa na
familia kwa jumla...katika waraka wao wameainisha baadhi ya sababu zinazofanya kutoishi kwa furaha ikiongozwa na uzinzi,kutokuwa na upendo wa kweli,ubishi,majigambo,ubaili katika ndoa,na kutokuwa wazi kwenye ndoa zao na mengine mengi tu..pamoja na hayo wamebainisha katika watu wenye uvumilivu dunian basi nii waanandoa.wanandoa wengi wamekuwa wakivumiliana
bila kujali tatizo zao na wengi imekuwa vigumu kuwajua tofauti zao mpaka pale utakapokuwa karibu nao..katika hilo waameonyesha wanandoa wengi ni wasiri kwenye matatizo yao..ndio maana ahata kama wameachana miaka 11 ukifika kwenye ndoa za watoto wao wamekuwa kitu kimoja bila kujali huyu alioa ama amelolewa na mwingine ........
Ukipata muda zaidi wasiliana na mgedwin3@yahoo.com kupata msaada zaidi wa waraka huu....