Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Makasi!, whwe hwuli!
ongo, yule mwadada!! ndza vigono!!!
Makasi!, whwe hwuli!
Na kijombelo kilibaho!Be wa kunyumba wewe:teeth::teeth:
Vilamka hukaye!!!
Hii ndio raha ya ulanzi, wanyalukolo mpo???
Tihongidze veyaaa. Wadzage kangi kilawu na kipeyu kya nga'nde. Ing'ande ya lande uyidzele?
Tihongidze veyaaa. Wadzage kangi kilawu na kipeyu kya nga'nde. Ing'ande ya lande uyidzele?
Jamani mnenikumbusha kukaye!! Yaani kuonja tu ni unapewa lita 4!
huyi baba yake banza stone ?
Tehe wadau hicho kitindi kimetulia mnooooo. Kuna siku tulienda cheza Mpira Tanangozi, basi baada ya game wenyeji wakatuletea plastiki mbili za lita kumi kumi za mtogwa hahahaha yaani wa bariidiiiiiiiiiiii, si mchezo. Haya wale wa Njia panda ya Tosa pale napo balaaaaaa nshakunywa pale mpaka tukalala kilabuni, bado hujatua kitwilu mwana nooooooooooooooma tupu. Kibwabwa na mwisho mother of all IPOGOLO PIKA POMBE aka IPP, pale ni Mixer ukitaka komoko (KOMONI, Mtogwa, Mkangafu, Mdindifuu) pale ndo KISIMA. Enzi hizo tukiita KITETE, aaaan NYELAAAAA Vanyalukola NDAULIIIIIII!!! makasi!!!!! aaah IRINGA RAHA TUPU jamani watani zangu wahehe mpooo, Karibuni Nyumbi iii bombii hii mje mnywe MYAKAYA maana komoni mnayo
Akili yote haifanyi kazi tired na mavodka:redfaces::redfaces:
Mnjagila, hapa nimecheka hadi basi!!!!
Be tuhongisyeeee nimemiss Ulanzi jamni!
Be wa kunyumba wewe:teeth::teeth:
utaipata wp mjini hiyo....mpaka urudi tanangozi!!hahaha, hapa umenitoa. Japo siku hizi sionji kabisa hii kitu.