Asili ya UKIMWI ni nini?

Ni kweli mkuu wameanza zamani sana lakini sababu SIV (ambayo huwa ipo kwenye nyani inafanana sana na HIV basi uwezekano mkubwa ni kwamba ilibadilika kutokana na mazingira kutoka SIV hadi HIV..

Ni kweli hizi zote ni theory na hazina uhakika lakini hii theory nadhani ni more plausible kuliko zile nyingine...

Mbona wataalam wengine wanasema mwili wa binadamu umeishi na kirusi cha HIV kwa muda mrefu bila madhara. na bila kusababisha AIDS. iweje ghafla HIV ndio iwe cause of AIDS.
 
mbona hujaweka theory yetu waafrika wenyewe?: TB wa afrika kusini anasema ni myth tu, hakuna kitu kama hicho... immunity inapotea kwa umasikini na hygiene mbaya ya maisha ila ukila sawa ana ufanye mazoezi, utoke maisha ya mining underground, vinaisha.
kwanza yeye baada ya ku-do bila kinga anaosha dudu na detol plus maji moto na anauhakika ni kinga tosha. lol
 
mbona hujaweka theory yetu waafrika wenyewe?: TB wa afrika kusini anasema ni myth tu, hakuna kitu kama hicho... immunity inapotea kwa umasikini na hygiene mbaya ya maisha ila ukila sawa ana ufanye mazoezi, utoke maisha ya mining underground, vinaisha.
kwanza yeye baada ya ku-do bila kinga anaosha dudu na detol plus maji moto na anauhakika ni kinga tosha. lol


Roulette post zako sometimes bana.....lol... (BTW still getting used to the new you)
 
Roulette post zako sometimes bana.....lol... (BTW still getting used to the new you)
Thank you Dii. In fact nilimsemea uongo bwana TB, ni Jacob Zuma and I saw it on TV... How do you like the new me? nilishauriwa nitow macartoon...
 
Not very familiar zaidi ya definition niliyoiona ya kwamba haya ni mabaki ya viral infections za zamani ambazo baada ya muda zinakuwa passed through generations hence kuwa parts za genes, that means they can be inherited

Nina uhakika hapa kuna connection ambayo unaweza ukanipa kuhusu hii AIDS na HERVs

Exactly there are bunch of scientist who believes that ... after something known as immune shift ... or immune shut down ...the safe and harmless HERVs .. turns virulent and ..becomes HIV.

The important of this discovery?

We don't have to struggle with the HIV ... kwa madawa mbalimbali nk ...what you have to do ...is just activate the Immune shift/ shut down to immune start up ... or balance the immunity from the shift... all this can be done... UPO?

Pls this time nigongee Thanx ... to alert me kuwa umejibu post so that I can make a followup's (..lol...sio kwamba nataka kuongeza idadi Thank... ??)
 
Exactly there are bunch of scientist who believes that ... after something known as immune shift ... or immune shut down ...the safe and harmless HERVs .. turns virulent and ..becomes HIV.

The important of this discovery?

We don't have to struggle with the HIV ... kwa madawa mbalimbali nk ...what you have to do ...is just activate the Immune shift/ shut down to immune start up ... or balance the immunity from the shift... all this can be done... UPO?

Pls this time nigongee Thanx ... to alert me kuwa umejibu post so that I can make a followup's (..lol...sio kwamba nataka kuongeza idadi Thank... ??)

Ha ha haa nimekupata mkuu lakini mbona kama ndio inakuwa kazi zaidi how to you shift; activate and whatsoever it is with immune system seems like its harder than just kubugia ARVs
 
Ha ha haa nimekupata mkuu lakini mbona kama ndio inakuwa kazi zaidi how to you shift; activate and whatsoever it is with immune system seems like its harder than just kubugia ARVs

... No no !! Very simple but not that much ... kwa nini? You need to know vitu amabavyo vinazima hiyo kinga ya mwili ... mind you ... ni tofauti kuzima kinga ya mwili .. is alike kuzima taa... kuharibika kwa kinga ya mwili ..is like kuvunja taa... that means kuzima ...unaweza kuwasha.. ndio maana wanasema ..watu wafundishwe hiyo kanuni ... wajue nini kinazima ..so that they can star up ... lakini wanakataa kata kata kuwa kinga inaharibika na kwamba haiwezi ku washwa tena...

and ARVs ... ndio kabisa ...zinaharibu kila kitu!!
 
... No no !! Very simple but not that much ... kwa nini? You need to know vitu amabavyo vinazima hiyo kinga ya mwili ... mind you ... ni tofauti kuzima kinga ya mwili .. is alike kuzima taa... kuharibika kwa kinga ya mwili ..is like kuvunja taa... that means kuzima ...unaweza kuwasha.. ndio maana wanasema ..watu wafundishwe hiyo kanuni ... wajue nini kinazima ..so that they can star up ... lakini wanakataa kata kata kuwa kinga inaharibika na kwamba haiwezi ku washwa tena...

and ARVs ... ndio kabisa ...zinaharibu kila kitu!!

Okay na mpaka sasa research zimefika wapi na wameshafanya tests kiasi gani..., au bado ipo katika theory stage..., am sure hawawezi wakakosa watu wa kuwafanyia tests
 
Mbona wataalam wengine wanasema mwili wa binadamu umeishi na kirusi cha HIV kwa muda mrefu bila madhara. na bila kusababisha AIDS. iweje ghafla HIV ndio iwe cause of AIDS.

Kutengeneza virusi vya HIV kwenye maabara wala sio vigumu kama watu wanavyofanywa kujua. Ni kumsababishia mtu kuingia kwenye Immune shift/ shut down then HERV tunrs to HIV na ni kweli virusi vya HERV vinatengeneza 3-4% ya Humun DNA kwa hiyo mwilini kwetu ni nyumbani kwao... ila mazingira yakibadilika tu ... vinakuwa Viriulent HIV,

Exactly there are bunch of scientist who believes that ... after something known as immune shift ... or immune shut down ...the safe and harmless HERVs .. turns virulent and ..becomes HIV.

The important of this discovery?

We don't have to struggle with the HIV ... kwa madawa mbalimbali nk ...what you have to do ...is just activate the Immune shift/ shut down to immune start up ... or balance the immunity from the shift... all this can be done... UPO?

Pls this time nigongee Thanx ... to alert me kuwa umejibu post so that I can make a followup's (..lol...sio kwamba nataka kuongeza idadi Thank... ??)

Okay na mpaka sasa research zimefika wapi na wameshafanya tests kiasi gani..., au bado ipo katika theory stage..., am sure hawawezi wakakosa watu wa kuwafanyia tests

Majaribio yanafanyika waziwazi Ujerumani na Switzerland.

Kuna hatua kubwa Mbili.

1. Kumfanya mgonjwa kutambua fika kwa nini kuna kuwa na hiyo immune shif/shtdown ( google immune shift)

2. Dawa ambazo zina fanya hiyo balancing ya immunity ifanyike .( Dawa kwa kijerumani inaitwa VIATHEN .. jaribu google)

Nafikiri east africa watakuwepo ... Uganda au kenya ...

Habari ya HIV kutengenezwa kama biological wepon/ kutika kwnye kima etc... isiwe issue *... jambo la msingi ... ni kutafuta Tiba nk

Na tiba ni kuweza kurestore ... Immune shift ... naturaly!!
 
Back
Top Bottom