Sasha Fierce
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 361
- 5
SF,
Hii inatokana na kwamba - unapotanguliza shikamoo ni kama umeweka kizuizi cha heshima.Anapokataa kuitika inavyotakiwa ni kwamba alikuwa ana mpango mwingine na wewe na anashangaa barrier ya nini tena?
Ok kama hata alikuwa na mpango mwingine kwa nini asiitikie salamu yangu then akaendelea kutia hilo neno lake.Kwani akiitikia shikamoo yangu age yake itabadilika na kuwa young?.I think kuwa wazee wengine hawataki kuzeeka wanadhani bado wao ni vijana.
Kwanza how do you say shimakoo in english?labda ukisema hivyo mtu ataona humuoni yeye kama ni mzee.