Bado unatoka nje ya mada...Nawapa heshima zao sana tu BT sio Shikamoo mkuuToa heshima we ni bwana mdogo husilewe cheo!!!Ila mazoea acha just wape heshima yao lakini swala kuwabana kazini usililetee heshima OVer!!!
Bs waadabishe coz adabu haichagui rika naona wanajeuri kisa umewakuta ofisini>>>>watie adabuBado unatoka nje ya mada...Nawapa heshima zao sana tu BT sio Shikamoo mkuu
Huku Tanga hatunaga shikamoo.. Iwe mtu mzima wa umri gani..salamu yetu ni Asalam aleikum..
Tatizo sio shikamoo. Ninachokiona mimi unapoingia sehemu mpya lazima uwasome watu, unapojifanya mjuaji itakuumiza. Wasikilize, wahoji kirafiki baadaye wabadilishie kibao lakini usichelewe. Wasije wakajenga mazoea.Habar zenu wadau wa JF ,Mm n mwajiriwa ktk Taasisi fulani ktk position nliopo tupo vijana wachache majority n watu wazima na wazee(40 to 55) kulingana na nature ya kaz yangu wengi wao wanahitaji usimamiz wangu kazini na pale wanapokosea sina budi kuwaadabisha sasa inakuja mahala mtu anataka umwamkie kitu ambacho nlijifunza mahala nlipokua nafanya kaz mwanzon nlikua nawasalimu wakubwa kwangu bt wote walikuja kunidharau na pale nlipotaka kutoa adhabu walinibeza na vijineno" katoka juz shule sie tunajua maisha wazazi wako " nlitafta ushaur kwa wakubwa zangu kazini nliambiwa nmeharibu kumwambia shikamoo aliyeko chini yangu badala yake nisalimie "HABARI ZA SAHIZI,ZA LEO,ZA ASBH N.K... Tangia hapo nlistop kutoa shikamoo kwao mpk nmehamia Taasisi ingne .Huku ndio wananibeza kusalimia japo msimamo wangu ni uleule SITOI SHIKAMOO TENA.. nimekua nashangazwa sana pale MTU anapolazimisha salamu japo nawaheshimu kama wanaonizidi ...Swali::Je Shikamoo ndio ishara ya heshima kwa MTU au nn zaidi nifanyeje??Tushauriane wadau
Thanks mkuu kwa mchango wako....iko haja pia kwa wadau Wa lugha kuangalia matumiz ya neno SHIKAMOOTatizo sio shikamoo. Ninachokiona mimi unapoingia sehemu mpya lazima uwasome watu, unapojifanya mjuaji itakuumiza. Wasikilize, wahoji kirafiki baadaye wabadilishie kibao lakini usichelewe. Wasije wakajenga mazoea.
Shikamoo: I am kneeling before you.
Marahaba: not enough (hata mara ngapi)
Aisee kwanza nikupe hongera kwa kutupa ufahamu juu ya huu utumwa mambo leo,mimi mwenyewe nimekuwa najiuliza sana kwanini sisi waswahili tumekuwa tunafwata kila jambo ambalo tumelikuta babu zetu wakitumia na fika tukijua kuwa babu zetu walikumbana na utumwa,nadhani ifikie mahali TAKI wafanyie marekebisho baadhi ya maneno ya kiswahili hasa haya yanayo endeleza utumwa mambo leo.Kwa nilivyosikia mimi neno shikamoo maana yake ni "niko chini ya miguu yako.
Pia nimesikia hilo neno ni la kitumwa na lilikuwa linatumiwa na watumwa kuwaonyesha heshima wakuu wao.
Kuna baadhi ya watu nawajua hawapendi kupewa shikamoo na hata wakipewa hawajibu marahaba.
Je kama hili neno ni la kitumwa, kwanini sisi tuendelee kulitumia kama neno linaloashiria heshima?
Kama lilitumika kuwakandamiza mababu zetu kwanini na sisi tulipe nafasi? Au tunalitumia kama wenzetu Wamarekani weusi wanavyo tumia neno "nigga" ambalo lilitumika kudharau mababu zao na kulifanya la kwetu sasa?
MwanaFalsafa1 said: ↑
Nakubaliana wewe kwa 100% kwa sababu maana ya shikamoo haijabadilika Ni ile ile ya "niko chini ya miguu yako", lazima tuukubali ukweli kuwa shikamoo haina maana yoyote ya kiheshima.
Unakataa nini wakati jibu huna? ndio yale Allah Yupo ukiuliza wapi hajuiHapana, si kweli. Hiyo si maana ya neno shikamoo.
Kiswahili kitamu.