FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
Habari,
Nashangaa watu Tanzania peke yake hutumia neno shikamo kama salamu ya kumtunikia mtu heshima ilhali ni utumwa wa kisaikolojia, shikamo ni neno la kiharabu humaanisha nipo chini ya miguu yako.
Huu ni ujinga uliopitiliza hata mataifa yote hamna kitu kama hichi, kwanza hata tafsiri yake hakuna iwe kwa lugha yeyote duniani na kingine uende dukani useme eti naomba hahaha hii nchi ni vichekesho unaomba huku unatoa sarafu.
Ndio maana hata mkiambiwa laleni hakuna kufanya lolote mnafanya kweli ujinga mwalimu aliukemea nyie mkaukumbatia.
= Kiarabu
Si kweli.