Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,425
- 2,112
Kagoma Bhihusi
Pole. Ama historia ina"kuona" au ulifundishwa na mwalimu kilaza. Nani aliyekwambia kuwa Baba wa Taifa ndiye aliyebuni hilo jina? Halafu, tofautisha kati ya kubuni jina la Tanzania na kuasisi Taifa la Tanzania.
Pole. Ama historia ina"kuona" au ulifundishwa na mwalimu kilaza. Nani aliyekwambia kuwa Baba wa Taifa ndiye aliyebuni hilo jina? Halafu, tofautisha kati ya kubuni jina la Tanzania na kuasisi Taifa la Tanzania.
Last edited by a moderator: