zawadi ya sh 200/- tu !!!
200 kipindi hiko unanua bicycle 1 tu....sasa hiyo ndiyo kubwa? zomba unaweza kutusaidia 200/- wakati huo unapata nini?
200 kipindi hiko unanua bicycle 1 tu....sasa hiyo ndiyo kubwa? zomba unaweza kutusaidia 200/- wakati huo unapata nini?
Ukiwa selfish huwezi kukosa kitu cha ku-complain. Lakini ni imani yangu kuwa 200 by then ilimtosha kabisa kununua Quran mpya kabisa. Was not that a good deal?