Elections 2010 Asikudanganye mtu hali ni mbaya

Ntambaswala

JF-Expert Member
Dec 7, 2008
255
78
Wanajamvi,

Tuache uwongo hali ya CCM uchaguzi huu sio nzuri kabisa -mtu yoyote mwenye akili anaweza kuuona. Sual ni kwamba CCM inakabiliwa na upinzani wa aina mbili; yaani toka nje ya chama na ndani kwenyewe. Upinzani ndani ya chama umekuwa kimya sana lakini timu ya kampeni ya CCM inajua kuwa kuna silent opposition kubwa sana ndani ya CCM na hata katika serikali yake. Watu wengi wanaiunga mkono CCM mchana kuepeuka kufukuzwa kazi, kuonekana wasaliti, na pia kudumisha unafiki- ila nakwambia 31st Oktoba wengi wanaweza kupiga kura kwa upinzani.

Nimerejea kutoka LIndi na mtwara nilikuwa kwenye timu ya kampeni ya rafiki yangu anagombea kupitia CCM, nakwambia hali ni mbaya usiku tunapanga mikakati kesho yake tunaamka ishafika kwa CHADEMA. Issue ni kuwa hata timu yake ya ndani kabisa wanamsaliti wanasema angegombea upinzani lakini sio CCM

Pia wafanyakai ukiongea nao wanasema watamuenzi mzee Ngula, vijana wa mitaani na wafanyabiashara wasema ufisadi umezidi. CCM tunahitaji kujipanga ili kujinasua na hali hii, vinginevyo tutakuwa chama cha upinzani sasa hivi
 
Bora umesema wewe toka ndani. Tulio nje lolote tunalosema na kupendekeza lipigwa nembo ya "NI MPINZANI"
 
kweli mkuu
kwa wale ambao akili yao ni ''shake well'' ndiyo bado hawaoni hata kwa kusoma alama za nyakati
lakini ukweli ccm imeshikwa vibaya
 
Wanajamvi,

Tuache uwongo hali ya CCM uchaguzi huu sio nzuri kabisa -mtu yoyote mwenye akili anaweza kuuona. Sual ni kwamba CCM inakabiliwa na upinzani wa aina mbili; yaani toka nje ya chama na ndani kwenyewe. Upinzani ndani ya chama umekuwa kimya sana lakini timu ya kampeni ya CCM inajua kuwa kuna silent opposition kubwa sana ndani ya CCM na hata katika serikali yake. Watu wengi wanaiunga mkono CCM mchana kuepeuka kufukuzwa kazi, kuonekana wasaliti, na pia kudumisha unafiki- ila nakwambia 31st Oktoba wengi wanaweza kupiga kura kwa upinzani.

Nimerejea kutoka LIndi na mtwara nilikuwa kwenye timu ya kampeni ya rafiki yangu anagombea kupitia CCM, nakwambia hali ni mbaya usiku tunapanga mikakati kesho yake tunaamka ishafika kwa CHADEMA. Issue ni kuwa hata timu yake ya ndani kabisa wanamsaliti wanasema angegombea upinzani lakini sio CCM

Pia wafanyakai ukiongea nao wanasema watamuenzi mzee Ngula, vijana wa mitaani na wafanyabiashara wasema ufisadi umezidi. CCM tunahitaji kujipanga ili kujinasua na hali hii, vinginevyo tutakuwa chama cha upinzani sasa hivi


Wengine wametuita Mavuvuzela wa JF.

Wanafananisha DR. Slaa na Wapiga Kura wa 2010 na Mrema na Wapiga Kura wa 1995.
 
Wanajamvi,

Tuache uwongo hali ya CCM uchaguzi huu sio nzuri kabisa -mtu yoyote mwenye akili anaweza kuuona. Sual ni kwamba CCM inakabiliwa na upinzani wa aina mbili; yaani toka nje ya chama na ndani kwenyewe. Upinzani ndani ya chama umekuwa kimya sana lakini timu ya kampeni ya CCM inajua kuwa kuna silent opposition kubwa sana ndani ya CCM na hata katika serikali yake. Watu wengi wanaiunga mkono CCM mchana kuepeuka kufukuzwa kazi, kuonekana wasaliti, na pia kudumisha unafiki- ila nakwambia 31st Oktoba wengi wanaweza kupiga kura kwa upinzani.

Nimerejea kutoka LIndi na mtwara nilikuwa kwenye timu ya kampeni ya rafiki yangu anagombea kupitia CCM, nakwambia hali ni mbaya usiku tunapanga mikakati kesho yake tunaamka ishafika kwa CHADEMA. Issue ni kuwa hata timu yake ya ndani kabisa wanamsaliti wanasema angegombea upinzani lakini sio CCM

Pia wafanyakai ukiongea nao wanasema watamuenzi mzee Ngula, vijana wa mitaani na wafanyabiashara wasema ufisadi umezidi. CCM tunahitaji kujipanga ili kujinasua na hali hii, vinginevyo tutakuwa chama cha upinzani sasa hivi


Teh teh hehehehehehe! Utamu huo
 
Hivi hali ya lile Daraja la Umoja analojivunia JK kalijenga ikoje mkuu Ntambaswala? Pale kwenye Bar ya Sijaona paliungua moto vp kumetengemaa? Wasalimie watu wa Uhamiaji na Polisi hapo kwenye hizo Nyumba za Wachina waambie Slaa (PhD) anahitaji kura zao kuikomboa Tanzania mikononi mwa Wakoloni Weusi, ndugu zetu wa tumbo moja waliotupa kisogo.
 
aaah nimesahau, na kale kahospitali ka Nanyumbu kanaendeleaje vile? Na yule mwalimu mmoja tu kwa shule nzima ya hapo Mtambaswala hivi bado yupo maana alishachoka na maisha akataka kukimbilia Masasi, mwambie apigie kura Dt. Slaa!
 
Kweli hali ni mbaya niko hapa Arusha na Mh. Batlda ametoka kwenye kampeni,, anazomewa mbaya sana....

Sasa sijui huyu mama itakuwaje, ila kwa kuwa ameolewa zanzibar basi atarudi huko kumuhudumia mkewe..

Arusha Mjini Lema tayari ni Mbunge...
 
Kweli hali ni mbaya niko hapa Arusha na Mh. Batlda ametoka kwenye kampeni,, anazomewa mbaya sana....

Sasa sijui huyu mama itakuwaje, ila kwa kuwa ameolewa zanzibar basi atarudi huko kumuhudumia mkewe..

Arusha Mjini Lema tayari ni Mbunge...

mkewe?
 
Kweli hali ni mbaya niko hapa Arusha na Mh. Batlda ametoka kwenye kampeni,, anazomewa mbaya sana....

Sasa sijui huyu mama itakuwaje, ila kwa kuwa ameolewa zanzibar basi atarudi huko kumuhudumia mkewe..

Arusha Mjini Lema tayari ni Mbunge...

Good news!
 
Wanajamvi,

Tuache uwongo hali ya CCM uchaguzi huu sio nzuri kabisa -mtu yoyote mwenye akili anaweza kuuona. Sual ni kwamba CCM inakabiliwa na upinzani wa aina mbili; yaani toka nje ya chama na ndani kwenyewe. Upinzani ndani ya chama umekuwa kimya sana lakini timu ya kampeni ya CCM inajua kuwa kuna silent opposition kubwa sana ndani ya CCM na hata katika serikali yake. Watu wengi wanaiunga mkono CCM mchana kuepeuka kufukuzwa kazi, kuonekana wasaliti, na pia kudumisha unafiki- ila nakwambia 31st Oktoba wengi wanaweza kupiga kura kwa upinzani.

Nimerejea kutoka LIndi na mtwara nilikuwa kwenye timu ya kampeni ya rafiki yangu anagombea kupitia CCM, nakwambia hali ni mbaya usiku tunapanga mikakati kesho yake tunaamka ishafika kwa CHADEMA. Issue ni kuwa hata timu yake ya ndani kabisa wanamsaliti wanasema angegombea upinzani lakini sio CCM

Pia wafanyakai ukiongea nao wanasema watamuenzi mzee Ngula, vijana wa mitaani na wafanyabiashara wasema ufisadi umezidi. CCM tunahitaji kujipanga ili kujinasua na hali hii, vinginevyo tutakuwa chama cha upinzani sasa hivi

Mkuu hongera kwa kuwa na ujasiri wa kusema ukweli ingawa kuna vimeo hapa watasema wewe ni chadema unazuga tu kuwa ni mwanasisiem!
 
Wakulu tushisherehekee kwanza. Let make them surprised kwa kuzisaka hata kura za wagombea wao. lets do it.
Tuhakikishe tunaziba mianya yoote ya kuibiwa kura, tuhakikishe tunaabide na sheria na taratibu za kampeni maana bila hivyo tunaweza kutegwa mahala na ndoto zetu zikayeyuka. But niko confidently kuwa Dr. Slaa ni rais wa tano wa TZ.

make way for the king
 
CCM ndo wajua siku zao zimekwisha kukaa madarakani na kujifanya kuchakachua lakini wapi ..hahaaaa kazi ipo
 
Mnanikumbusha mashindano ya Miss Tanzania, ambapo kila mdhamini anakuwa na mshindi wake..yaani different categories.mara photogenetic, mara sijui Miss domestic tourism...

In line with that... Kama tungekuwa na Category ya " Online/On-Net President of Tanzania" - we have the name already...similarly kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anapatikana kwa ballot votes kwenye polling stations... Na jina lake nalo lipo, tunalijua and it is obvious";

Kwa vyovyote mnajua kwamba huyo wa Mtandao sio yuleyule wa on ground.
Mungu Ibariki Tanzania
 
Naikia kwa iringa kuna maji,mbo kama 3 ivi yako hatarini kupokwa na CHADEMA mwaka wa mavuno huu
 
Naikia kwa iringa kuna maji,mbo kama 3 ivi yako hatarini kupokwa na CHADEMA mwaka wa mavuno huu

Kimsingi ni majimbo mawili, na yapo hatarini sio kwa sababu ya nguvu ya Chadema bali ni kutokana na makosa ya CCM kuwaengua wagombea walioshinda kura za maoni.
 
Wanajamvi,

Tuache uwongo hali ya CCM uchaguzi huu sio nzuri kabisa -mtu yoyote mwenye akili anaweza kuuona. Sual ni kwamba CCM inakabiliwa na upinzani wa aina mbili; yaani toka nje ya chama na ndani kwenyewe. Upinzani ndani ya chama umekuwa kimya sana lakini timu ya kampeni ya CCM inajua kuwa kuna silent opposition kubwa sana ndani ya CCM na hata katika serikali yake. Watu wengi wanaiunga mkono CCM mchana kuepeuka kufukuzwa kazi, kuonekana wasaliti, na pia kudumisha unafiki- ila nakwambia 31st Oktoba wengi wanaweza kupiga kura kwa upinzani.

Nimerejea kutoka LIndi na mtwara nilikuwa kwenye timu ya kampeni ya rafiki yangu anagombea kupitia CCM, nakwambia hali ni mbaya usiku tunapanga mikakati kesho yake tunaamka ishafika kwa CHADEMA. Issue ni kuwa hata timu yake ya ndani kabisa wanamsaliti wanasema angegombea upinzani lakini sio CCM

Pia wafanyakai ukiongea nao wanasema watamuenzi mzee Ngula, vijana wa mitaani na wafanyabiashara wasema ufisadi umezidi. CCM tunahitaji kujipanga ili kujinasua na hali hii, vinginevyo tutakuwa chama cha upinzani sasa hivi



tatizo laka unawaza upinzani na umejaa umejijengea mawazo ya kupinga pinga.mnafundisha nini watoto wa kizazi kijacho.me naona vyama ambavyo havijapata ridhaa ya wananchi kuongoza serikali na kuwa madarakani ni vyama vya kuiwajibisha serikali tuu na sio upinzani.asa wanapingana nini?kama ni maisha bora zaidi kwa wanachi wote wanalenga hivo hivo au vyam unavyovijua weye vinapinga lengo la kusaidia wananchi?????
 
wakulu tushisherehekee kwanza. Let make them surprised kwa kuzisaka hata kura za wagombea wao. Lets do it.
Tuhakikishe tunaziba mianya yoote ya kuibiwa kura, tuhakikishe tunaabide na sheria na taratibu za kampeni maana bila hivyo tunaweza kutegwa mahala na ndoto zetu zikayeyuka. But niko confidently kuwa dr. Slaa ni rais wa tano wa tz.

Make way for the king

kwa hakika hizo ndoto zenu zitageuka kuwa jinamizi!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom