TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Feb 11, 2012 #2 Kwa lipi mkuu?kabla hoja yako haijawa blacklisted!
W wabanmtata Member Feb 8, 2012 19 2 Feb 11, 2012 #3 Unamaanisha muumba yupi?Muumba watu ama muumba vyungu?
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Feb 11, 2012 #4 Alafu nasikia jibaba lina kasichana nyumba ndogo uk.Hela sabuni ya roho.
MGAWARIZIKI JF-Expert Member Dec 16, 2010 305 47 Feb 12, 2012 #6 Sawa muumba tunamsifu siku zote lakini hapa sijakuelewa kivipi?
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Feb 13, 2012 #9 Du kuna mawaziri wana sura zinatisha hata ukisikia ammbo wanayofanya huwezi kataa
kadoda11 JF-Expert Member Jan 6, 2011 21,453 20,712 Feb 13, 2012 #11 Spear said: Click to expand... %*@#%**%!!^:smash::angry:
K Kamuzu JF-Expert Member Oct 14, 2008 993 298 Feb 13, 2012 #14 Spear said: Click to expand... Akisinzia mnasema, akiwaangalia kwa tabasamu, pia tabu. haya bana
M Midavudavu JF-Expert Member Jan 23, 2012 287 59 Feb 13, 2012 #17 Hakuna aliyejichagulia sura. Hujafa hujaumbika, hiyo inayoiona mbaya siku moja utatamani iwe yako.
C Capt Tamar JF-Expert Member Dec 15, 2011 11,727 14,610 Feb 13, 2012 #18 Hivi jamani masoud sura....yupo?hatuna undugu naye kweli?
Genderi Senior Member Dec 26, 2011 102 17 Feb 13, 2012 #19 wabanmtata said: Unamaanisha muumba yupi?Muumba watu ama muumba vyungu?[/QUOT Binadamu hana uwezo wa kuumba isipokuwa ano uwezo wa kuunda Click to expand...
wabanmtata said: Unamaanisha muumba yupi?Muumba watu ama muumba vyungu?[/QUOT Binadamu hana uwezo wa kuumba isipokuwa ano uwezo wa kuunda Click to expand...