Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,078
- 2,443
Udhaifu wa lugha yetu ya Kiswahili....Masanilo alionekana amepakatia laptop yake kwenye mapaja....sidhani kama maana yake nailawiti! .....
Neno kupakata linatumika kwa "viumbe hai"! huwezi kupakata Laptop!
Kwa usahihi anayepakatwa ni kiumbe hai kisicho na uwezo wa kukaa chenyewe wakati fulani - e.g unampakata mtoto umlishe.
Kwahiyo kuandika kuwa Balile "amepakatwa" na "mafisadi" ni TUSI