Tuko umenivimbisha kichwa hapa.... zawadi ipo in what form ili nikupe maelekezo? THANK U....lol
Tuma kwa M-pesa kwenye number yangu nitamfikishia.
Kama kuna watu walinishawishi kujiunga na huu mtandao,wa kwanza ni Jamaa yangu hapa.
Wapili na watatu ni AshaDii na Lizzy,...niliwapa shukrani zangu siku ya kwanza tu kuingia.Mna tufundisha mengi jamani.
mbalikiwe sana.
Hongera sana AshaDii, kwa kweli wastahili,
Japo sikupiga kura kutokana na kutingwa na shughuli za hapa kibaruani kwangu, lakini mwanangu Cantalisia alikuwa anani-Up Date kwa Text akinijuza kila hatua ya upigaji kura.
You Deserved, AshaDii...oaoa
Sidhani,Mx
@ADI
kwa mamlaka niliyonayo kama bodi gadi
naamuru wadaiwa sugu woote, wataifishwe pesa hizi.
Hongera sana mpendwa, jioni ya sa 1 kwa saa za afrika ya mashariki tutajumuika hapo home kwenu kusherehekea!
Again hongera sana!
Congratulations. You deserve it!
Kwa ushindi huu nataraji yale madeni yetu tumesamehewa.
Hongera dadaake, mawigi yatakukomaje?
I am not sure maana bado nilikuwa sijaiwaza...
Postal address itanifaa sana. I am serious...
hongera dada
View attachment 48829 Hongera dada AshaDii
Hata asingepigiwa kura angeshinda.
....pheeewwww, finally...
Hongera kwenu, kwangu mie nyote mu washindi jamani...:first:
Mzembe imekula kwako......kila siku we kudhulumu tu, ngoja kongosho aje akukamue pua!!
You sounded serious hadi nilipoona hapo. Naona wewe una agenda yako tu, hamna lolote! lolHebu mwaga namba yako hapa ya M-Pesa. labda na mie ningependa kumpelekea zawadi kupitia kwako...............LOL
Kipipi bana! hii mikwala yake utazani yeye hadaiwi. Hapa natetea wadaiwa wote ujue. Halaf Ashadii aliniPM anasema wewe umekopa used night dress khaaa!Mzembe imekula kwako......kila siku we kudhulumu tu, ngoja kongosho aje akukamue pua!!
na angejua kifaa nachotumia kukamua!!
Angekimbia kwenda kulipa sasa hivi
Kipipi bana! hii mikwala yake utazani yeye hadaiwi. Hapa natetea wadaiwa wote ujue. Halaf Ashadii aliniPM anasema wewe umekopa used night dress khaaa!