Sina neno mie,
Hongera sana ADi (WoY, 2011)!!
Babu DC!!
HONGERA AD
Superman una haraka ya kuruka tuuuu......hebu weka hansard sawa hapokwenye blue ili tuwe na kumbukumbu mujjarab
Hongera WoY AshaDii, Kweli ulistahili.
Nigawie basi hata buku mbili aisee, elfu hamsini yote unakula pekee yako!?
Congratulations. You deserve it!
Unapokuwa unapata mtu wa kukuheshimu sana hata hakufahamu,then
wewe ume barikiwa kweli kweli.
I respect AshaDii so much,simjui,Lakini trust me....kwenye key board (JF in general) ndipo panaonesha
mtu alivyo kwa uhalisia,.....why?kwa sababu UNAANDIKA KILICHO JAA NDANI YA MOYO WAKO.
You can fake it sometimes,but you'll certainly go back to the real you.
AshaDii is as real as she is,..............Much respect.
Maneno yako ni mazito na ya maana kubwa kwangu. Daima
will be grateful for in one way or another yameni inspire....
Pamoja Saana Speaker..... Pamoja saana.:grouphug:
Hongeara sana WoY Ashadii.
Ukifika hapa, nitakupa kipaja cha kuku. Unastahili kabisaaaaaaaaaaaa wala hujapendelewa.
Congratulation AshaDii, you deserve this.
I have to say that with your new tiara you should expand your interventions in JF and participate in other active jukwaaz like Siasa, international and economics which will benefit from your posts.
Wining against FaizaFoxy ni tuzo kubwa sana because she is also a woman of caracter who stands for what she believes in, for as long as she believes it is right. Bila shaka she deserves the second title
Hongera!!!
Tuma kwa M-pesa kwenye number yangu nitamfikishia.AshaDii, kwa hili niko siriaz sana. Pamoja na kukupa hongera, lakini ningependa nikupe zawadi binafsi ya kitu tangible... Please allow me...
my big sisy(WoY, 2011)!!
Hongera sana aunt wetu mpendwa. Ngoja nimtafute mwali tupange namna ya kusheherekea ushindi.
Hongera sana AshaDii
You deserve
Hongera sana. WoY AshaDii. Unastahiki.
Accept my offer of Internet bundle in ur inbox just pm me ur network.
Hebu mwaga namba yako hapa ya M-Pesa. labda na mie ningependa kumpelekea zawadi kupitia kwako...............LOLTuma kwa M-pesa kwenye number yangu nitamfikishia.
Hongera WOY ASHADII, unaonaje ukitumia nafasi ulonayo kuwaombea wanawake wenzio waliokula ban kwa mods?
Kunywa kwanza maji baridiiiii!
Kwa ushindi huu nataraji yale madeni yetu tumesamehewa.
Hongera dadaake, mawigi yatakukomaje?
Hongera Ashadii. .WoY u deserve the tittle. .
Kwa kweli anastaili . Hengera AshaDii
Rangeho nasa....Zika rinzu mama mkwe!!
Hongera sana mpendwa, jioni ya sa 1 kwa saa za afrika ya mashariki tutajumuika hapo home kwenu kusherehekea!
Again hongera sana!
Hongera ADI 'The Brave One'
unastahili!
AshaDii, kwa hili niko siriaz sana. Pamoja na kukupa hongera, lakini ningependa nikupe zawadi binafsi ya kitu tangible... Please allow me...