B Bangoo JF-Expert Member Nov 3, 2011 5,597 1,005 May 4, 2012 #1 Tetesi zilikuwa nyingi sana kuhusu Asha Rose kupewa uwaziri kulikoni mbona kimya hatujamuona jamani?
mopaozi JF-Expert Member Nov 17, 2010 3,301 519 May 5, 2012 #2 Nenda pale geto ikulu waulize wajedda mlangoni watakujibu fasah!
kibogo JF-Expert Member Apr 1, 2012 9,739 4,732 May 5, 2012 #3 Mizengwe Pinda kamshikia nafasi yake atapewa uwaziri Mkuu wakati wa Bunge la Budget