Umeshasahau kituko cha wale wagonjwa wa kichwa na mguu?futa kauli gamba wewe. Madaktari wetu ni majembe
Umeshasahau kituko cha wale wagonjwa wa kichwa na mguu?
Ukiona mtu anakwenda kutibiwa nje ujuwe madaktari uchwara wa hapa wameshindwa.
katibu wa organizesheni wa chama cha mapinduzi (ccm) yupo india kutibiwa mguu. Akiwa amekula pozi na wauguzi wa hospitali ya miot nchini india.
Umeshasahau kituko cha wale wagonjwa wa kichwa na mguu?