Pengine amejikwaa tu imekuwa neno!mkuu
ni mguu mmoja tu huo umempeleka "In-dia"!!!siyo miguu!!!jamani hawa
madaktari wetu wasingeweza kumtibu hata huo mguu mmoja!!!
Nani anamlipia?
Ukiona mtu anakwenda kutibiwa nje ujuwe madaktari uchwara wa hapa wameshindwa.
Ukiona mtu anakwenda kutibiwa nje ujuwe madaktari uchwara wa hapa wameshindwa.
Ukiona mtu anakwenda kutibiwa nje ujuwe madaktari uchwara wa hapa wameshindwa.