mambo moto
Member
- Mar 7, 2012
- 12
- 0
Mimi nilikuwa mmojawapo wa wale ambao walikuwa hawajawasilisha taarifa zao benki, hivyo hatua ya beki kuongeza muda wa kupeleka taarifa hizo imenirahisishia kazi hiyo, sasa nina uhakika wa kuzipeleka bila tatizo.
Mwisho March 14, 2013.
Kwa tunaopenda kufanya kazi under deadlline tunasubiri tarehe 10. march 2013.