John Gelas
Senior Member
- Apr 25, 2012
- 168
- 7
Ongera mwaya
Im so happy with your lovely words and advice!Hongera mwaya; Mungu awayangulie kwenye hatua yenu ya kwanza ya kujuana!
James, umepata dhahabu. The fact kuwa amejitangaza inaonesha anajua nini anachokitaka kwenye life, na maybe anaweza kuwa desparate na si kwamba she couldn't have anybody. So naamini nawe ni mature na unajua unachotaka! Si busara, wala utu, wala ustasrabu na wala uanaume; kucheza na feelings za mtu. Hivyo bro tuko nyuma yako na ur new found love katika process zote za kufamiana, kupendana na kuishi pamoja!
Nawatakia wote, mafanikio na furaha za kuzidi!
Enjoy it!
Hongera zenu. ILA KWA SISI TULIOA TUNAAMINI MAPENZI HUWA HAYAJI GHAFLA HIVYO LABDA YAWE YANA NGUVU YA MAULANA. ningependa iwe kama kwenye red. Hongereni sana
Jambo la kwanza ni kupiga magoti na kumwomba Mungu.Then,ukipataraha eeeh,mie napenda kujua huwa mnawachujaje mpaka unaona huyu anafaa i mean unajuaje huyo uliyoopoa ndio mwenywe na sio kimeo....nataka mauzoefu ili nikijitosa nisipate tabu...:glasses-nerdy::glasses-nerdy: all in all hongera.....:A S 41:
mi mzima kabisa ivuga wewe je?
Unaona wengine wanavo fanya fasta fasta?
Sio kukaa tu unaongea ongea bila action
seriously if JF found u a husband, then babygirl u r special and God is watching over you... hongera sana!!! now Usiwe unajiita nasikitika maneno huumba.... hebu jiite furaha basi teh teh teh teh....cheers!!
Dudu,naomba rudia tena kuisoma ile message,nilisema nimeshampata mpenziwewe binti kwanini usiwe mkweli? jana umemjibu Mshawa eti mpenzi wako anakupa mapenzi ya mtoto wa kwanza halafu eti anafuata masharti yako na ndoa mnafunga december ukamaliza na James ndo anajua hujachakachuliwa.
Ndani ya siku nne umeshapata mchumba na mwezi wa kufunga ndoa tayari? Hadi hapo nshajua wewe ni mtu wa namna gani.
Unataka kusema wanaume wa jf ni wepesi kama maharage ya mbeya?
Niache kidogo nasikitikaa
Jambo la kwanza ni kupiga magoti na kumwomba Mungu.Then,ukipata
chance kama hii na watu mbalimbali wakatokea kupenda kuwa na wewe
usibabaike,mfano mimi,walitokea wote unaowajua wewe,wa kada mba
limbali na kutoka nchi mbalimbali ulaya na Amerika,hapo ndo nilitumia
kitu kinachoitwa STRENGTH OF THE WOMAN,nikamwomba Mungu sana
mana nilikuwa serious na kumpata mpenzi wa maisha na si wa mchezo,
na sikubabaika na vyote,na ha kwanza niliongea na moyo je ni nana moyo
wangu umempenda?aliye serious zaidi,mwenye uhitaji wa mwenza zaidi
na sio siri ni ndani ya Muda mfupi nikagundua ni Eng James,he deserve to
be mine.Na sikuwapa chance wengi wanipigie simu au kuniona,nilipenda
zaidi wanitumie picha kwanza nami nikatuma,James ana mapenzi ya dhati
na nimwelewa,anafuata ushauri wote na kufuata njia iliyonyooka.
Utajuaje kama mic inafanya kazi pasipo kuijaribu?