Asanteni Madaktari; mmetuonesha hatupaswi kutaliwa kwa ubabe tena!

Mkuu wangu nadhani hunielewi na hutanielewa ikiwa utachukulia maoni yangu juu juu. Hakuna mtu anayepinga mgomo ikiwa taratibu zimechukuliwa kuhakikisha mgomo huo hautaathiri wadau wengine kwa kiwango kikubwa bali mlengwa ambaye ni serikali. Kwa mfano Ma pilot wakigoma hutazama hasara watakayo wapa shirika la ndege zaidi ya Wasafiri wenyewe. Nikiwa na maana mlengwa wa ujumbe huu wa mgomo au hata maandamano ni yule aliyeshindwa kukubali madai hayo.

Na hakika chombo pekee cha Umma ambacho kilifikia hatua ya kuanza mgomo kilikuwa Jumuiya ya watumishi wa Umma (TUCTA) ambao mwajiri wao kupitia menejimenti ya utumishi wa Umma (rais) alitoa majibu ya kwamba hawezi kuongeza mishahara ya watumishi wake hasa wenye kipato cha chini. Wakati nikitazama mgomo huu wa madaktari kwa uhalisia wake haukufikia ngazi yoyote ya kushindikana mazungumzo baina ya wadau. Isipokuwa kulikuwa na mawasiliano mabaya na jeuri baina ya viongozi wa juu ndio ulosababisha kutokuwepo kwa mazungumzo yoyote ya pande mbili.
Na nina mashaka makubwa kama wadau wengine walihusishwa kwa mfano CSSC au Ofisi ya rais - Menejimenti ya utumishi wa Umma (kule kwa Hawa Ghasia) ambao wote hawa wanahusika kulingana na mfumo wetu wa kiutawala ambao ulijengwa kuhakikisha kwamba jamii ya Watanzania inapata huduma inayokusudiwa kutoka kwa serikali kwa kuzingatia sera, sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali..

Na ndio maana wengine mnashangaa mbona imekuwa rahisi hivi ilipofika kwa rais! lakini kiundani rais ni mtu wa mwisho kabisa na maadam tumejichanganya toka nyuma madai ya haki yakageuka kuwa baina ya mashindano ya watu, ndio maana rais alitazama tu huu mgomo kama vile watu wasiojua walitendalo. Huko nyuma Jazba na hasira zimetumika zaidi ya hekima na busara na haiondoi ukweli kwamba baadhi ya viongozi wa serikali na hata madaktari waliuvua Uzalendo wao ktk kulitumikia Taifa wakachukua Uhuni na wakavua mashati yao kama kuonyesha nani mwenye nguvu. Na nilichokitaza mimi mkuu wangu sio kugoma kwa Walimu au Polisi dhidi ya serikali hii bali sura nzima ya kuonyeshana nani mwenye nguvu baina ya vyombo hivi na ndio maana siwapongezi madaktari wala serikali yenyewe hata kidogo. Ni sawa kabisa na kuanzisha vita japokuwa kuna sababu ya maana lakini kama itawagharimu wananchi kama ilivyowagharimu Somalia, sina sababu ya kuunga mkono upande wowote isipokuwa kutazama athari za vita hiyo.

Binafsi yangu mzozo mzima wa madaktari na serikali ilikuwa mchezo wa Puta... kakutukania mama yako basi mstari unapigwa na watu wananza kurushiana makonde - Bila shaka, someone will pay for this! na ninajua fika JK hiyo kesho au baadaye kuna watu watapoteza ajira zao na kibaya zaidi haitaleta nafuu yoyote kwa wananchi kwa sababu vita ilofanywa na madaktari haikulenga kubomoa mfumo ulosababisha hali hii isipokuwa baadhi ya WATU walo wakwamisha. Hata kama Mponda na Nkya wakiondolewa madarakani haitasaidia chochote ikiwa tumeshindwa kuutazama mfumo mzima wa kiutawala. Hadithi ni ile ile ya kina Lowassa, Msabah, Karamagi, Meghji, Brandina Nyoni, Diallo yaani hawa wote ni reflection ya who we are for real!..Akitoka Mponda ataingia mjinga mwingine ambaye atafuata mfumo ule ule wa dharau, uheshimiwa na kuchumia tumbo...Tatizo lenu nyote humu JF mna attack WATU badala ya MFUMO ulotufikisha hapa!
Mifumo na sera nyingi TZ kwenye sekta ya afya wala haina shida sana(on paper).....tatizo kubwa tulilo nalo TZ ni usimamizi na utekelezaji mbovu wa mifumo/sera....na watekelezaji/wasimamizi wa mifumo/sera hizi ni WATU.....huwezi kushughulikia mifumo pasi kuwahusisha WATU......WATU ndio wanaovuruga mifumo/sera.....mfano..madaktari wanapolalamika kuwa vitendea kazi hamna mahospitalini au madawa hamna.....wanaohusika na uwepo/upatikanaji wa vitendea kazi/madawa etc ni WATU(decision makers)na si mfumo...wanaohusika na ununuzi wa vifaa feki ni WATU na si mfumo...wanaoamua wagonjwa kwenda kutibiwa nje ni WATU na si mfumo....wanaotengeneza mfumo/sera ni WATU......
 
Mifumo na sera nyingi TZ wala haina shida(on paper).....tatizo kubwa tulilo nalo TZ ni usimamizi na utekelezaji wa mifumo/sera....na watekelezaji/wasimamizi wa mifumo/sera hizi ni WATU.....huwezi kushughulikia mifumo pasi kuwahusisha WATU......
NOPE..........
Naomba nitofautiane na wewe mkuu, tatizo ni mfumo sio watu
Mfumo unaruhusu watu kuwa Miungu watu na kufanya watakavyo badala ya kuwabana kutimiza wanachopaswa.
Watu wanafanya madudu live kabisa lakini kimfumo si Bunge wala PM wala Rais anayebanwa kuchukua hatua, wote wanaishia kulalamikiana
 
NOPE..........
Naomba nitofautiane na wewe mkuu, tatizo ni mfumo sio watu
Mfumo unaruhusu watu kuwa Miungu watu na kufanya watakavyo badala ya kuwabana kutimiza wanachopaswa.
Watu wanafanya madudu live kabisa lakini kimfumo si Bunge wala PM wala Rais anayebanwa kuchukua hatua, wote wanaishia kulalamikiana
utaratibu wa kuwajibishana kwenye kila sekta uko wazi kabisa(on paper)...hao unaosema wanashindwa kuwajibishana na kubaki kulalamikiana kwasababu wanalindana kwasababu za kimaslahi......wooote wabovu......hamna wa kumwajibisha mwenzie.....mifumo ya kuwajibishana iko very clear on paper.......na ndio sababu tunapiga kelele humu.....chukua mfano wa scenario hii......majamaa wanafuja hela...wananchi wanapiga kelele..bunge linaunda kamati...watu wanaonekana wana makosa makubwa..lakini hawachukuliwi hatua...chukua mifano ya richmond na issue ya jairo....mifumo ya kuwawajibisha jamaa ipo.....lakini majamaa wapo wanakula raha....nani hapa mwenye makosa?????WATU au MFUMO??........
 
Mifumo na sera nyingi TZ kwenye sekta ya afya wala haina shida sana(on paper).....tatizo kubwa tulilo nalo TZ ni usimamizi na utekelezaji mbovu wa mifumo/sera....na watekelezaji/wasimamizi wa mifumo/sera hizi ni WATU.....huwezi kushughulikia mifumo pasi kuwahusisha WATU......WATU ndio wanaovuruga mifumo/sera.....mfano..madaktari wanapolalamika kuwa vitendea kazi hamna mahospitalini au madawa hamna.....wanaohusika na uwepo/upatikanaji wa vitendea kazi/madawa etc ni WATU(decision makers)na si mfumo...wanaohusika na ununuzi wa vifaa feki ni WATU na si mfumo...wanaoamua wagonjwa kwenda kutibiwa nje ni WATU na si mfumo....wanaotengeneza mfumo/sera ni WATU......
Mkuu wangu naomba unielewe ya kwamba kuna Mfumo huundwa na WATU vile vile na hurekebishwa na WATU vile vile. Huwezi kulalamikia Ufisadi ikiwa Mfumo uliopo unaruhusu viongozi kufanya biashara na kujitajirisha. Hili ni sawa na kusema mume aliyeoa anaruhusiwa kuoa mke wa pili wa tatu au hata wanne (kiislaam) kisha ukitegemea kwamba hawezi kulala na wake wale kwa sababu ni haramu kufanya kitendo hicho (ukichukulia Ukristu). Mfumo wa nchi yetu unahalalisha Ufisadi hivyo kwa mtu kama Lowassa, Yona na wengineo wote ni mafisadi sio kwa kupenda isipokuwa hakuna haramu ndani yake ila tunapendelea iwe haramu...Makosa yao yapo kwenye Azimio la Zanzibar.

Matokeo ya Huduma mbaya za Afya nchini zimetokana na mfumo mbaya uliopo, haijalishi kaandika Lowassa, Mwinyi au mtaalam gani - Haufai na ndio sababu. Pengine jiulize kwa undani haswa waliosema Simple minded talk about People, average minds discuss Events and Great minds discuss Ideas.. Sasa hizi Events na Idea pia sii zinafanywa na WATU? why tu -discuss Events ana Idea na sio watu wenyewe! Je, kuna tofauti gani kati ya kuzungumzia watu na events au Ideas! - Sijui kama unanielewa!
 
Mkuu wangu naomba unielewe ya kwamba kuna Mfumo huundwa na WATU vile vile na hurekebishwa na WATU vile vile. Huwezi kulalamikia Ufisadi ikiwa Mfumo uliopo unaruhusu viongozi kufanya biashara na kujitajirisha. Hili ni sawa na kusema mume aliyeoa anaruhusiwa kuoa mke wa pili wa tatu au hata wanne (kiislaam) kisha ukitegemea kwamba hawezi kulala na wake wale kwa sababu ni haramu kufanya kitendo hicho (ukichukulia Ukristu). Mfumo wa nchi yetu unahalalisha Ufisadi hivyo kwa mtu kama Lowassa, Yona na wengineo wote ni mafisadi sio kwa kupenda isipokuwa hakuna haramu ndani yake ila tunapendelea iwe haramu...Makosa yao yapo kwenye Azimio la Zanzibar.

Matokeo ya Huduma mbaya za Afya nchini zimetokana na mfumo mbaya uliopo, haijalishi kaandika Lowassa, Mwinyi au mtaalam gani - Haufai na ndio sababu. Pengine jiulize kwa undani haswa waliosema Simple minded talk about People, average minds discuss Events and Great minds discuss Ideas.. Sasa hizi Events na Idea pia sii zinafanywa na WATU? why tu -discuss Events ana Idea na sio watu wenyewe! Je, kuna tofauti gani kati ya kuzungumzia watu na events au Ideas! - Sijui kama unanielewa!
mh...i knew your line of thinking was on the ..People,Events and Ideas song....na viongozi wengi waovu/mafisadi nchi hii wamekuwa wanatumia the same line of reasoning ili tu kukwepa kuwa attacked......hata lowassa ulimsikia siku moja akisema watu wasitumie nguvu ya umma kuwasema bali waitumie kuleta maendeleo....hivi kweli Mkandara kwa TZ ilivyooza kwa ufisadi unaosababishwa na watu..unaweza kweli kuacha kuwazungumzia WATU??..nani awazungumzie sasa kama wananchi watawaona viongozi wao wanaifilisi nchi alafu wao wananchi wakae kimya na ideas zao kichwani??...its corruption within PEOPLE that creates corrupt systems my friend.....amka ndugu yangu.....hata walioleta azimio la zanzibar unalosema limeleta ufisadi TZ ni WATU(corrupt people).........
 
mh...i knew your line of thinking was on the ..People,Events and Ideas song....na viongozi wengi waovu/mafisadi nchi hii wamekuwa wanatumia the same line of reasoning ili tu kukwepa kuwa attacked......hata lowassa ulimsikia siku moja akisema watu wasitumie nguvu ya umma kuwasema bali waitumie kuleta maendeleo....hivi kweli Mkandara kwa TZ ilivyooza kwa ufisadi unaosababishwa na watu..unaweza kweli kuacha kuwazungumzia WATU??..nani awazungumzie sasa kama wananchi watawaona viongozi wao wanaifilisi nchi alafu wao wananchi wakae kimya na ideas zao kichwani??...its corruption within PEOPLE that creates corrupt systems my friend.....amka ndugu yangu.....hata walioleta azimio la zanzibar unalosema limeleta ufisadi TZ ni WATU(corrupt people).........
Mkuu wangu sio my line of thinking which matter hapa, but facts na reality.. Ebu pitia kwa haraka Mada zote za Siasa ni ngapi zinazungumzia WATU badala ya EVENTS au IDEAS the more unakwenda juu ndivyo zinavyopungua na pengine hakuna hata moja inayozungumzia IDEA leo hii - Karibu zote zinahusu nani Kajamba - how, where and why?

Kina Lowassa watazungumziwa kutokana na Ufisadi walioufanya.. Hayo waliyoyafanya ndio events zenyewe mathlan tuzungumzie Richmond, EL name will come up bila shaka lakini sio EL shujaa kafanya nini? hatuna jibu ila kampiku JK...Haya tuna mchango gani kuhusiana na kuboresha nguvu za Umeme - Zero!

Leo serikali kwa kutumia bado Azimio la Zanzibar wanatuletea Mchuchuma ambapo nina hakika kuna mtu amekatiwa 10% as shareholder na hakuna investigation wa UWAZI wa mkataba huo. Mkuu wangu ni POLICY ndio humbadilisha MTU tabia lakini huwezi kumbadilisha MTU kwa kumsema..

Ili kuwakomesha kina Lowassa mnatakiwa kuzungumzia vitu hivi kwanza..Na ktk swala la madaktari tutazame mahusiano ya CSSC, Ofisi ya rais Utumishi wa Umma na wizara ya kazi, wiizara ya Afya na kadhalika ktk kujadili hoja ya madaktari. Makosa yako wapi kimfumo kisha tuangalie huyo waziri amekuwa corrupt kutokana na nini... I mean mkuu wangu huwezi kumlaumu Mkristu kwa kunywa pombe kwa sababu uimeharamishwa ndani ya Biblia lakini mila ya desturi zetu zinasema pombe sio haramu.

Hawa hawaifilisi nchi ikiwa uongozi wa sheria upo na kama unakumbuka nyuma nimejaribu sana kuusukuma Umma uwaunge mkono madaktari kwa njia ya maandamano lakini wapi watu wamekaa pembeni wanashangilia tu madaktari wakiucheza mpira wenyewe na migomo.. Huu ndio unafiki na ndio unaowapa nguvu viongozi wetu kuendelea kuwa mafisadi kwa sababu hatupendi kuboresha mfumo bali tunajaribu kuwabadilisha tabia za WATU..
 
Mkuu wangu sio my line of thinking which matter hapa, but facts na reality.. Ebu pitia kwa haraka Mada zote za Siasa ni ngapi zinazungumzia WATU badala ya EVENTS au IDEAS the more unakwenda juu ndivyo zinavyopungua na pengine hakuna hata moja inayozungumzia IDEA leo hii - Karibu zote zinahusu nani Kajamba - how, where and why?

Kina Lowassa watazungumziwa kutokana na Ufisadi walioufanya.. Hayo waliyoyafanya ndio events zenyewe mathlan tuzungumzie Richmond, EL name will come up bila shaka lakini sio EL shujaa kafanya nini? hatuna jibu ila kampiku JK...Haya tuna mchango gani kuhusiana na kuboresha nguvu za Umeme - Zero!

Leo serikali kwa kutumia bado Azimio la Zanzibar wanatuletea Mchuchuma ambapo nina hakika kuna mtu amekatiwa 10% as shareholder na hakuna investigation wa UWAZI wa mkataba huo. Mkuu wangu ni POLICY ndio humbadilisha MTU tabia lakini huwezi kumbadilisha MTU kwa kumsema..

Ili kuwakomesha kina Lowassa mnatakiwa kuzungumzia vitu hivi kwanza..Na ktk swala la madaktari tutazame mahusiano ya CSSC, Ofisi ya rais Utumishi wa Umma na wizara ya kazi, wiizara ya Afya na kadhalika ktk kujadili hoja ya madaktari. Makosa yako wapi kimfumo kisha tuangalie huyo waziri amekuwa corrupt kutokana na nini... I mean mkuu wangu huwezi kumlaumu Mkristu kwa kunywa pombe kwa sababu uimeharamishwa ndani ya Biblia lakini mila ya desturi zetu zinasema pombe sio haramu.

Hawa hawaifilisi nchi ikiwa uongozi wa sheria upo na kama unakumbuka nyuma nimejaribu sana kuusukuma Umma uwaunge mkono madaktari kwa njia ya maandamano lakini wapi watu wamekaa pembeni wanashangilia tu madaktari wakiucheza mpira wenyewe na migomo.. Huu ndio unafiki na ndio unaowapa nguvu viongozi wetu kuendelea kuwa mafisadi kwa sababu hatupendi kuboresha mfumo bali tunajaribu kuwabadilisha tabia za WATU..
Mkandara....believe me...in today's TZ..even if you have the best systems in place, considering that you have corrupt PEOPLE in place,you never will bring change.......For a real change to happen in TZ..you need to change PEOPLE first...i can bet on this....WATU lazima wabadilike my friend...hata kama utakuwa na the best of the best systems in place....kama WATU hawabadiliki utakuwa unamwaga maji kwenye gunia tu......mabadiliko ya WATU lazima yawe ya kifikra na kizalendo....vinginevyo mtazidi kupiga siasa tu humu ndugu yangu.....
 
Back
Top Bottom